Mdutch
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 214
- 77
- Thread starter
- #41
Kwa ufupi mi nishaanza kupoteza imani kwa kasi na style ya huu uwongozi wa bavicha. Chadema ni vijana kwa sehemu kubwa ila bado sijaona mkakati wowote makini wa hawa kina Heche kutuunganisha vijana tuchukue nchi 2015. Naona kina Heche wamelala tu ka UVCCM..........
Ndo kwanza wamekamilisha uongozi wa kitaifa juzi kati hapo. Sasa wewe ulitaka mikakati ya mtu mmoja? Hapa tunaangalia mkutano wao wa kimataifa wewe unalialia tu.