BAVICHA kuchakaza Igunga, Operesheni Chukua Igunga

Igunga ni kugumu sana sababu wananchi uelewa wao kuhusu vyama vya upinzani ni mdogo sana! Kule wasomi ni wachache mno, ndio maana yule muirani alikuwa anachukua jimbo kirahisi sana. But tuombe Mungu wapate ufahamu ili wakombolewe mikononi mwa mafisadi ccm.
Mkuu, tufahamishe sehemu gani Tanzania kuna wasomi wengi!
 
CCM itashinda kwa kimbunga cha tsunami CDM wasipoteze muda kbs watakwisha vilio siku ra anajiuzulu ni ishara tosha kuwa CCM inakubalika.Kidum chama cha mapinduzi
 
safi sana wapiganaji igunga tunachukua hapa tabora kimtu anasubiri siku iwadie tuachane na siasa uchwara na za kifisadi woooooooou love chadema
 
Ben,Mimi ni Indepenent Thinker tena fikra zangu zipo Cognition, tofauti na nyie Pro-CDM ni mateka wa mwenyekiti wenu Mbowe fikra zake ndio mnazitumia wote! Mfano mdogo tumeona kwa Kafulila, tumeona kwa Zitto Kabwe, alivyotaka kugombania Uenyekiti, leo hii tumeona kwa Shibuda amekataa kuwa mateka wa fikra za mwenyekiti unaweza kupoteza ubunge, tumeona uchaguzi wa BAVICHA wewe mwenyewe wamekutosa na unajua kwa nini lakini kwa sababu fikra za mwenyekiti, tumeona suala la Madiwani kina Mallah wamekwenda tofauti na fikra za Mwenyekiti nini kimetokea!Mambo yapo mengi sana ndani ya CDM yanaenda kwa fikra za Mwenyekiti

Kama unatuhukumu kwa sababu tunakitetea chama, basi na iwe hivyo na hiyo laana au hukumu utupayo na itushike tu.
Ila niombe unisaidie kunikumbusha wapi fikra za mwenyekiti ambazo ni zake binafsi sio za kikatiba wala za kikanuni tumeendeshwa nazo?
Wapi alisema neno likiwa nje ya utaratibu kisha ukasikia sauti za ndiooo!!!!!
Umeanza na Ben kisha utakuja kwangu na wengine kujikinga na hoja halisi.
Sasa komea hapo, hebu soma threads na post za huyo Ben kisha unijibu kama ameshikwa mateka AU la!!
 
Ben,Mimi ni Indepenent Thinker tena fikra zangu zipo Cognition, tofauti na nyie Pro-CDM ni mateka wa mwenyekiti wenu Mbowe fikra zake ndio mnazitumia wote! Mfano mdogo tumeona kwa Kafulila, tumeona kwa Zitto Kabwe, alivyotaka kugombania Uenyekiti, leo hii tumeona kwa Shibuda amekataa kuwa mateka wa fikra za mwenyekiti unaweza kupoteza ubunge, tumeona uchaguzi wa BAVICHA wewe mwenyewe wamekutosa na unajua kwa nini lakini kwa sababu fikra za mwenyekiti, tumeona suala la Madiwani kina Mallah wamekwenda tofauti na fikra za Mwenyekiti nini kimetokea!Mambo yapo mengi sana ndani ya CDM yanaenda kwa fikra za Mwenyekiti

Ritz,

Historically my political and battle pride is known for their dignity, principles, strength, bravery, determination,surrender ,no compromise and fighting spirit.

Sometimes you need to sacrifice for the grand mission....sometimes you need to retreat not to surrender.I dont believe in the culture of surrendering,i dont believe into the culture of complaining.I always focus forward, still the imperative of the youths in streets prevails. Kuhusu kuwa mateka wa zidumu fikra za mwenyekiti,naomba unitoe kabisa...mimi kwangu hili ni tusi.au pengine dhana halisi huielewi mkuu(natanguliza apology kama siko sahihi)

Kuhusu bavicha na hapo juu kwenye red,Hilo nilishalitolea maelezo kwenye thread ile......! Kimsingi napinagana na hoja yako kwamba mwenyekiti wako wa chama au viongozi wako wana akili kuliko wanachama wote.Je,huoni kwamba tunastahili kutoka huku kwenye fikra za Ujima? au ndiyo maana JK siku hizi ana kiburi kweli kweli...nadhani vijaan tuna haja ya kutumia njia mbadala ya kutaka kulikomboa tafa letu kuliko kutumia hii demokrasia iliyodumaa
 
Kila la kheri makamanda wetu hyo kesho,walipueni Magamba mpaka wakome

Pamoja na kutoa elimu ya haki za msingi bado inabidi CDM waje na Roadmap makini,

1-Wawaache wana Igunga wachague mtu wao hata kama ni DJ wa pale Sakao Bar alipofanyia kikao RA, wao waangalie je anakubalika kwenye jamii?
2-Wapate mtu anayejua kuupepeta kwa kisukuma na kiswahili kama Nyani Ngabu...Sorry.. (Kiingereza sio dili kule Igunga)
3-BAVICHA ijikite katika mambo yafuatayo,
  • Waongelee kwa nini kuna Bei mbovu ya pamba inayosimamiwa na serikali ya CCM pamoja na mzani wa kuchakachua uliokubaliwa na serikali
  • Shida ya maji kwa wakati wote ambapo kuna mabwawa makubwa mawili yanayozunguka Igunga, enzi za nyerere maji yalitolewa bwawa la Igogo yakapelekwa Igunga-Mbutu-Ibuta etc leo hii yanaishia Igunga tu na si maji salama,
  • Daraja la mto Mbutu ni mtaji, wanainchi wengi wamekuwa wanashindwa kupata huduma za msingi kipindi cha mvua na CDM ikiweza kuja na suluhisho hilo basi kura za vijiji vyooote ng'ambo ya mto ni zao (Hili ni muhimu sana na RA alilitumia sana kuwadanganya watu wa Igunga)
  • BAVICHA itahadhalishe na kuelimisha wana Igunga kuhusu wawekezaji uchwara wanoweza kuvamia Ardhi yao..nasikia wananyemelea,
  • CDM watoe kipaumbele wa barabara ya Igunga - Itumba, Igunga - Nkinga, Igunga - Sakamaliwa, Igunga - Igurubi etc
  • CDM wawaeleze wanainchi ni jinsi gani watasukuma gurudumu kupeleka Umeme vijiji vya ng'ambo ya mto mbutu,sakamaliwa, Ibuta, Hindishi, Ng'wanyagula, Bukama, Igurubi, Itumba, Makomero, Mwabakima etc
  • BAVICHA wasisite kuelezea jinsi gani watafufua kilimo cha mpunga wa kumwagilia pale Mwanzugi
Mashule kukosa walimu, Nyumba zao Mbovu, Huduma ya Afya duni, vijiji vingi havina dispensary...(kwa leo inatosha na wengine wachangie)
 
Pamoja na kutoa elimu ya haki za msingi bado inabidi CDM waje na Roadmap makini,1-Wawaache wana Igunga wachague mtu wao hata kama ni DJ wa pale Sakao Bar alipofanyia kikao RA, wao waangalie je anakubalika kwenye jamii?2-Wapate mtu anayejua kuupepeta kwa kisukuma na kiswahili kama Nyani Ngabu...Sorry.. (Kiingereza sio dili kule Igunga)3-BAVICHA ijikite katika mambo yafuatayo,
  • Waongelee kwa nini kuna Bei mbovu ya pamba inayosimamiwa na serikali ya CCM pamoja na mzani wa kuchakachua uliokubaliwa na serikali
  • Shida ya maji kwa wakati wote ambapo kuna mabwawa makubwa mawili yanayozunguka Igunga, enzi za nyerere maji yalitolewa bwawa la Igogo yakapelekwa Igunga-Mbutu-Ibuta etc leo hii yanaishia Igunga tu na si maji salama,
  • Daraja la mto Mbutu ni mtaji, wanainchi wengi wamekuwa wanashindwa kupata huduma za msingi kipindi cha mvua na CDM ikiweza kuja na suluhisho hilo basi kura za vijiji vyooote ng'ambo ya mto ni zao (Hili ni muhimu sana na RA alilitumia sana kuwadanganya watu wa Igunga)
  • BAVICHA itahadhalishe na kuelimisha wana Igunga kuhusu wawekezaji uchwara wanoweza kuvamia Ardhi yao..nasikia wananyemelea,
  • CDM watoe kipaumbele wa barabara ya Igunga - Itumba, Igunga - Nkinga, Igunga - Sakamaliwa, Igunga - Igurubi etc
  • CDM wawaeleze wanainchi ni jinsi gani watasukuma gurudumu kupeleka Umeme vijiji vya ng'ambo ya mto mbutu,sakamaliwa, Ibuta, Hindishi, Ng'wanyagula, Bukama, Igurubi, Itumba, Makomero, Mwabakima etc
  • BAVICHA wasisite kuelezea jinsi gani watafufua kilimo cha mpunga wa kumwagilia pale Mwanzugi
Mashule kukosa walimu, Nyumba zao Mbovu, Huduma ya Afya duni, vijiji vingi havina dispensary...(kwa leo inatosha na wengine wachangie)
Nmekusoma kamanda nafkiri makamanda wote igunga wameipata hiyo, pia wasisahau kuwaeleza bei ya mafuta ya taa iliyopitishwa na wabunge wa ccm wakati wana igunga wote wanategemea mafuta ya taa,
 
Pamoja na kutoa elimu ya haki za msingi bado inabidi CDM waje na Roadmap makini,

1-Wawaache wana Igunga wachague mtu wao hata kama ni DJ wa pale Sakao Bar alipofanyia kikao RA, wao waangalie je anakubalika kwenye jamii?
2-Wapate mtu anayejua kuupepeta kwa kisukuma na kiswahili kama Nyani Ngabu...Sorry.. (Kiingereza sio dili kule Igunga)
3-BAVICHA ijikite katika mambo yafuatayo,
  • Waongelee kwa nini kuna Bei mbovu ya pamba inayosimamiwa na serikali ya CCM pamoja na mzani wa kuchakachua uliokubaliwa na serikali
  • Shida ya maji kwa wakati wote ambapo kuna mabwawa makubwa mawili yanayozunguka Igunga, enzi za nyerere maji yalitolewa bwawa la Igogo yakapelekwa Igunga-Mbutu-Ibuta etc leo hii yanaishia Igunga tu na si maji salama,
  • Daraja la mto Mbutu ni mtaji, wanainchi wengi wamekuwa wanashindwa kupata huduma za msingi kipindi cha mvua na CDM ikiweza kuja na suluhisho hilo basi kura za vijiji vyooote ng'ambo ya mto ni zao (Hili ni muhimu sana na RA alilitumia sana kuwadanganya watu wa Igunga)
  • BAVICHA itahadhalishe na kuelimisha wana Igunga kuhusu wawekezaji uchwara wanoweza kuvamia Ardhi yao..nasikia wananyemelea,
  • CDM watoe kipaumbele wa barabara ya Igunga - Itumba, Igunga - Nkinga, Igunga - Sakamaliwa, Igunga - Igurubi etc
  • CDM wawaeleze wanainchi ni jinsi gani watasukuma gurudumu kupeleka Umeme vijiji vya ng'ambo ya mto mbutu,sakamaliwa, Ibuta, Hindishi, Ng'wanyagula, Bukama, Igurubi, Itumba, Makomero, Mwabakima etc
  • BAVICHA wasisite kuelezea jinsi gani watafufua kilimo cha mpunga wa kumwagilia pale Mwanzugi
Mashule kukosa walimu, Nyumba zao Mbovu, Huduma ya Afya duni, vijiji vingi havina dispensary...(kwa leo inatosha na wengine wachangie)
Umeeleza yote!hivi ndivyo vilivyo MTAJI wa kushinda Igunga. Hilo Daraja la mto Mbutu lilimgharimu sana Rostam tangu kwenye kura za maoni hadi kwenye uchaguzi wenyewe wa mwaka jana. Inasemekana na wachugnuzi na walioshudia kuwa, ilifikia mahali akagawa sh. elfu 10 kwa kila mkazi (karibu zaidi ya milioni 100) ili kupoza hasira za wapiga kura!huku PCCB ikiangalia, na watu nao wakaibiwa kirahisi hivyo. Lakini kikubwa watu waelimishwe, kama kuna watu walio rahisi kuelewa ni kule, ISIPOKUWA HAWAJAPATA WATU WA KUWAZINDUA!Wakati ni huu, watu wakombolewe, kwa kuanzia na Igunga!
 
Igunga ni kugumu sana sababu wananchi uelewa wao kuhusu vyama vya upinzani ni mdogo sana! Kule wasomi ni wachache mno, ndio maana yule muirani alikuwa anachukua jimbo kirahisi sana. But tuombe Mungu wapate ufahamu ili wakombolewe mikononi mwa mafisadi ccm.

uSIWE NA AKILI MGANDO WEWE GAMABA , UMESHAWAHI FIKA IGUNGA UKAWAONA MWAMMKO WA WATU NI MDOGO ACHA KUTUKANA WAZAZI WETU WETU WEWE GAMBA UNAYELIPWA PESA KIDOGO NA NAPE UUZE UTU WAKO, NI BORA USICHOKIJUA UKAKAA KIMYA KULIKO KUPIGA MAYOWE ILI WATU WAJUE NAWE UPO FOR UR INFORMATION MIMI NIKO IGUNGA , NA HALI ILIYOPO HAPA INASIKITISHA WATZ KULE KIJIJINI WAMEKATA TAMAA NA MAGAMBA KABISA WATU BADO WANACHANGIA MAJI YA KUNYWA NA NG'OMBE NA MBWA HALAFU MNADANGANYWA HUKO ETI rOSTAM ALILETA MAENDELEO IGUNGA PUMBAVU ZAO WANAOWAZA HIVYO, SAMAHANI KWA KUTUMIA NENO HILO MAANA MNAUDHI, LABDA ALIMPELEKEA MJOMBA WAKE KAMA KWELI YUPO

cHADEMA FOR LIFE CHADEMA FOR ME NAD CHA DEMA FOR WANA IGUNGA
 
Umeeleza yote!hivi ndivyo vilivyo MTAJI wa kushinda Igunga. Hilo Daraja la mto Mbutu lilimgharimu sana Rostam tangu kwenye kura za maoni hadi kwenye uchaguzi wenyewe wa mwaka jana. Inasemekana na wachugnuzi na walioshudia kuwa, ilifikia mahali akagawa sh. elfu 10 kwa kila mkazi (karibu zaidi ya milioni 100) ili kupoza hasira za wapiga kura!huku PCCB ikiangalia, na watu nao wakaibiwa kirahisi hivyo. Lakini kikubwa watu waelimishwe, kama kuna watu walio rahisi kuelewa ni kule, ISIPOKUWA HAWAJAPATA WATU WA KUWAZINDUA!Wakati ni huu, watu wakombolewe, kwa kuanzia na Igunga!

Ndugu mie huenda Igunga kila mwaka mara moja na ni kweli kwa yote uliyosema, watu wa kule ni waelewa kwa urahisi sana, ingawa pia wanahongeka cheaply sana kwani kule Chumvi na kanga zinaweza badilisha upepo saa yoyote ila safari hii sidhani kwani walishachoka na siasa za kuongopewa kuwa watajengewa daraja wakati masika wake zao na watoto wanakufa kwa kushindwa kufika Hospitalini Igunga kisa mto mbutu umejaa, na ukiangalia population iliyoko ng'ambo ya mto ule basi ni mtaji wa kufa mtu na hiyo ni moja, pili tatizo la maji linatatulika lakini ni poor vision au kutokuwa na nia thabiti kwani maji pale mwanzugi na igogo yanatosha kabisa kupeleka vijijini na njia za kupitisha bomba zitakuwa zile za zamani, nimezunguka karibu 75% ya vijiji vya Igunga havina maji ya bomba isipokuwa vijibwawa vichache ambavyo wanainchi walichimba na RA alisaidia kiduchu kuvipanua huwa vinakauka kiangazi...Mkuu hapo penye red lazima watatumia kwa hiyo wanainchi wapewe elimu ya kwamba Magamba yatakuja na pesa na msiziache lakini chagueni kifaa cha CDM

Mkuu kama upo Igunga ni PM
 
Pamoja na kutoa elimu ya haki za msingi bado inabidi CDM waje na Roadmap makini,1-Wawaache wana Igunga wachague mtu wao hata kama ni DJ wa pale Sakao Bar alipofanyia kikao RA, wao waangalie je anakubalika kwenye jamii?2-Wapate mtu anayejua kuupepeta kwa kisukuma na kiswahili kama Nyani Ngabu...Sorry.. (Kiingereza sio dili kule Igunga)3-BAVICHA ijikite katika mambo yafuatayo,
  • Waongelee kwa nini kuna Bei mbovu ya pamba inayosimamiwa na serikali ya CCM pamoja na mzani wa kuchakachua uliokubaliwa na serikali
  • Shida ya maji kwa wakati wote ambapo kuna mabwawa makubwa mawili yanayozunguka Igunga, enzi za nyerere maji yalitolewa bwawa la Igogo yakapelekwa Igunga-Mbutu-Ibuta etc leo hii yanaishia Igunga tu na si maji salama,
  • Daraja la mto Mbutu ni mtaji, wanainchi wengi wamekuwa wanashindwa kupata huduma za msingi kipindi cha mvua na CDM ikiweza kuja na suluhisho hilo basi kura za vijiji vyooote ng'ambo ya mto ni zao (Hili ni muhimu sana na RA alilitumia sana kuwadanganya watu wa Igunga)
  • BAVICHA itahadhalishe na kuelimisha wana Igunga kuhusu wawekezaji uchwara wanoweza kuvamia Ardhi yao..nasikia wananyemelea,
  • CDM watoe kipaumbele wa barabara ya Igunga - Itumba, Igunga - Nkinga, Igunga - Sakamaliwa, Igunga - Igurubi etc
  • CDM wawaeleze wanainchi ni jinsi gani watasukuma gurudumu kupeleka Umeme vijiji vya ng'ambo ya mto mbutu,sakamaliwa, Ibuta
  • Mkuu point zako ni za msingi sana.Pia waitumie vizuri issue ya POSHO ZA VIKAO.wananchi wakiumia wabunge wa CCM wanatetea posho.
 
uSIWE NA AKILI MGANDO WEWE GAMABA , UMESHAWAHI FIKA IGUNGA UKAWAONA MWAMMKO WA WATU NI MDOGO ACHA KUTUKANA WAZAZI WETU WETU WEWE GAMBA UNAYELIPWA PESA KIDOGO NA NAPE UUZE UTU WAKO, NI BORA USICHOKIJUA UKAKAA KIMYA KULIKO KUPIGA MAYOWE ILI WATU WAJUE NAWE UPO FOR UR INFORMATION MIMI NIKO IGUNGA , NA HALI ILIYOPO HAPA INASIKITISHA WATZ KULE KIJIJINI WAMEKATA TAMAA NA MAGAMBA KABISA WATU BADO WANACHANGIA MAJI YA KUNYWA NA NG'OMBE NA MBWA HALAFU MNADANGANYWA HUKO ETI ROSTAM ALILETA MAENDELEO IGUNGA PUMBAVU ZAO WANAOWAZA HIVYO, SAMAHANI KWA KUTUMIA NENO HILO MAANA MNAUDHI, LABDA ALIMPELEKEA MJOMBA WAKE KAMA KWELI YUPO

cHADEMA FOR LIFE CHADEMA FOR ME NAD CHA DEMA FOR WANA IGUNGA


Asante kwa kizungu huwa wanasemaje vile?
 
Ritz,Historically my political and battle pride is known for their dignity, principles, strength, bravery, determination,surrender ,no compromise and fighting spirit.Sometimes you need to sacrifice for the grand mission....sometimes you need to retreat not to surrender.I dont believe in the culture of surrendering,i dont believe into the culture of complaining.I always focus forward, still the imperative of the youths in streets prevails. Kuhusu kuwa mateka wa zidumu fikra za mwenyekiti,naomba unitoe kabisa...mimi kwangu hili ni tusi.au pengine dhana halisi huielewi mkuu(natanguliza apology kama siko sahihi)Kuhusu bavicha na hapo juu kwenye red,Hilo nilishalitolea maelezo kwenye thread ile......! Kimsingi napinagana na hoja yako kwamba mwenyekiti wako wa chama au viongozi wako wana akili kuliko wanachama wote.Je,huoni kwamba tunastahili kutoka huku kwenye fikra za Ujima? au ndiyo maana JK siku hizi ana kiburi kweli kweli...nadhani vijaan tuna haja ya kutumia njia mbadala ya kutaka kulikomboa tafa letu kuliko kutumia hii demokrasia iliyodumaa
Ben,Ukiwa unapambana na mimi kwa hoja naomba usiniweke unaponiweka mimi sio CCM! nadhani umenielewa
 
Ndugu mie huenda Igunga kila mwaka mara moja na ni kweli kwa yote uliyosema, watu wa kule ni waelewa kwa urahisi sana, ingawa pia wanahongeka cheaply sana kwani kule Chumvi na kanga zinaweza badilisha upepo saa yoyote ila safari hii sidhani kwani walishachoka na siasa za kuongopewa kuwa watajengewa daraja wakati masika wake zao na watoto wanakufa kwa kushindwa kufika Hospitalini Igunga kisa mto mbutu umejaa, na ukiangalia population iliyoko ng'ambo ya mto ule basi ni mtaji wa kufa mtu na hiyo ni moja, pili tatizo la maji linatatulika lakini ni poor vision au kutokuwa na nia thabiti kwani maji pale mwanzugi na igogo yanatosha kabisa kupeleka vijijini na njia za kupitisha bomba zitakuwa zile za zamani, nimezunguka karibu 75% ya vijiji vya Igunga havina maji ya bomba isipokuwa vijibwawa vichache ambavyo wanainchi walichimba na RA alisaidia kiduchu kuvipanua huwa vinakauka kiangazi...Mkuu hapo penye red lazima watatumia kwa hiyo wanainchi wapewe elimu ya kwamba Magamba yatakuja na pesa na msiziache lakini chagueni kifaa cha CDM

Mkuu kama upo Igunga ni PM
Ni kweli mkuu kama usemavyo, sipo huko, lakini nimewahi kuwa huko kwa kipindi fulani hivi na naelewa pale palivyo. Kuna wagombea pia wa vyama vingine walikuwa wakitumia mtaji wa Rostam-wanajitangaza kwa mbwembwe wanagombea, halafu Rostam anawaita na kuwapoza kwa kitita. Hawa nao walisaliti juhudi za kuweka uongozi mbadala pale Igunga, sijui safari hii hali itakuwaje.
 
Pamoja na kutoa elimu ya haki za msingi bado inabidi CDM waje na Roadmap makini,1-Wawaache wana Igunga wachague mtu wao hata kama ni DJ wa pale Sakao Bar alipofanyia kikao RA, wao waangalie je anakubalika kwenye jamii?2-Wapate mtu anayejua kuupepeta kwa kisukuma na kiswahili kama Nyani Ngabu...Sorry.. (Kiingereza sio dili kule Igunga)3-BAVICHA ijikite katika mambo yafuatayo,
  • Waongelee kwa nini kuna Bei mbovu ya pamba inayosimamiwa na serikali ya CCM pamoja na mzani wa kuchakachua uliokubaliwa na serikali
  • Shida ya maji kwa wakati wote ambapo kuna mabwawa makubwa mawili yanayozunguka Igunga, enzi za nyerere maji yalitolewa bwawa la Igogo yakapelekwa Igunga-Mbutu-Ibuta etc leo hii yanaishia Igunga tu na si maji salama,
  • Daraja la mto Mbutu ni mtaji, wanainchi wengi wamekuwa wanashindwa kupata huduma za msingi kipindi cha mvua na CDM ikiweza kuja na suluhisho hilo basi kura za vijiji vyooote ng'ambo ya mto ni zao (Hili ni muhimu sana na RA alilitumia sana kuwadanganya watu wa Igunga)
  • BAVICHA itahadhalishe na kuelimisha wana Igunga kuhusu wawekezaji uchwara wanoweza kuvamia Ardhi yao..nasikia wananyemelea,
  • CDM watoe kipaumbele wa barabara ya Igunga - Itumba, Igunga - Nkinga, Igunga - Sakamaliwa, Igunga - Igurubi etc
  • CDM wawaeleze wanainchi ni jinsi gani watasukuma gurudumu kupeleka Umeme vijiji vya ng'ambo ya mto mbutu,sakamaliwa, Ibuta, Hindishi, Ng'wanyagula, Bukama, Igurubi, Itumba, Makomero, Mwabakima etc
  • BAVICHA wasisite kuelezea jinsi gani watafufua kilimo cha mpunga wa kumwagilia pale Mwanzugi
Mashule kukosa walimu, Nyumba zao Mbovu, Huduma ya Afya duni, vijiji vingi havina dispensary...(kwa leo inatosha na wengine wachangie)
kaka ushauri wako uko makini natumai mwenyekiti Bavicha ataufanyia kazi.thanks
 
uSIWE NA AKILI MGANDO WEWE GAMABA , UMESHAWAHI FIKA IGUNGA UKAWAONA MWAMMKO WA WATU NI MDOGO ACHA KUTUKANA WAZAZI WETU WETU WEWE GAMBA UNAYELIPWA PESA KIDOGO NA NAPE UUZE UTU WAKO, NI BORA USICHOKIJUA UKAKAA KIMYA KULIKO KUPIGA MAYOWE ILI WATU WAJUE NAWE UPO FOR UR INFORMATION MIMI NIKO IGUNGA , NA HALI ILIYOPO HAPA INASIKITISHA WATZ KULE KIJIJINI WAMEKATA TAMAA NA MAGAMBA KABISA WATU BADO WANACHANGIA MAJI YA KUNYWA NA NG'OMBE NA MBWA HALAFU MNADANGANYWA HUKO ETI rOSTAM ALILETA MAENDELEO IGUNGA PUMBAVU ZAO WANAOWAZA HIVYO, SAMAHANI KWA KUTUMIA NENO HILO MAANA MNAUDHI, LABDA ALIMPELEKEA MJOMBA WAKE KAMA KWELI YUPO cHADEMA FOR LIFE CHADEMA FOR ME (NAD) CHA DEMA FOR WANA IGUNGA
NAD. ni nini mkuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom