Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
OCI ninauwakika itafanikiwa
Nakuunga mkono!Hahahahaaa!Natamani CHADEMA wamsimamishe Said Bagalile original!
Natamani CHADEMA wamsimamishe Said Bagalile original!
wana jamii nawasha tv yangu tbc wanapitisha maandish chadema waanza operation igunga nifahamisheni uzuri chadema wameitangaza lini na wanaianza vipi?
samahani jamani, hivi ni nani katibu wa hawa baba vichaa ( bavicha)?
Kamanda huyo gamba asikuumize kichwa maana wamezoea propaganda zisizo na mashiko so anadhani zitaweza kuichafua (bavicha) propaganda huwa hazina maisha katika ukweli na haki.mkuu, Tuheshimiane kabisa, hilo jina unalotubatiza sio la kiungwana kabisa, hiyo mipasho ya kisiasa sidhani kama ni mahala pazuri pa kufanyia propoganda za aina hii.Baraza letu sio la aina ya utenge wa akili kama unavyotaka kuanzisha hapa.Ugomvi/hofu na ukosefu wa hekima ni hatari sana.Kama unania ya kumjua katibu wa baraza haina haja ya kuuliza kwa namna hii.
Naona CDM wameanza kuvizia kuichukua iliyokuwa himaya ya Rostam. Nafikiri kati ya vitu ambavyo jamaa hawa waliwahi kuwaza au ku-foresee ni pale walipoamua kufanya ziara ya ujenzi wa chama mkoani Tabora mapema mwaka huu ambako pia Dr. Slaa aliupatia mkoa huo hadhi ya kutumika kutangaza/kuongeza majina mengine katika Orodha ya Mafisadi. Ziara hiyo itakuwa ni utangulzi mzuri wa kazi nyingine inayoanza kesho ikiongozwa na Baraza la Vijana (BAVICHA). Makamanda kibao watakuwa mkutanoni kesho. Kama kawa maandamano yataanza kwanza.
Operesheni hii inaitwa Operesheni Chuku Igunga (OCI). Mwenyekiti Heche amezungumza na waandishi wa habari leo kuwajuza tukio la kesho. Ambapo pia 'kamgonga' vibaya, JK na Pinda katika udhaifu wa serikali kuchukua hatua madhubuti kumaliza tatizo la umeme. Mnataka habari zaidi wakuu...? Naomba kuwasilisha.
Naona CDM wameanza kuvizia kuichukua iliyokuwa himaya ya Rostam. Nafikiri kati ya vitu ambavyo jamaa hawa waliwahi kuwaza au ku-foresee ni pale walipoamua kufanya ziara ya ujenzi wa chama mkoani Tabora mapema mwaka huu ambako pia Dr. Slaa aliupatia mkoa huo hadhi ya kutumika kutangaza/kuongeza majina mengine katika Orodha ya Mafisadi. Ziara hiyo itakuwa ni utangulzi mzuri wa kazi nyingine inayoanza kesho ikiongozwa na Baraza la Vijana (BAVICHA). Makamanda kibao watakuwa mkutanoni kesho. Kama kawa maandamano yataanza kwanza.
Operesheni hii inaitwa Operesheni Chuku Igunga (OCI). Mwenyekiti Heche amezungumza na waandishi wa habari leo kuwajuza tukio la kesho. Ambapo pia 'kamgonga' vibaya, JK na Pinda katika udhaifu wa serikali kuchukua hatua madhubuti kumaliza tatizo la umeme. Mnataka habari zaidi wakuu...? Naomba kuwasilisha.
samahani jamani, hivi ni nani katibu wa hawa baba vichaa ( bavicha)?
=Major;2268689]Matokeo ya Igunga yatakuwa hivi,
CHADEMA 89.9%
CUF 7.1%
MAGAMBA 3.0%
NCCR 2.0%
samahani jamani, hivi ni nani katibu wa hawa baba vichaa ( bavicha)?
Huyu katibu wa Bavicha Heche, siku wanaojiwa Star Tv yeye pamoja na Nape, alisema taingie azaliwe hajawahi kushika milioni mbili. Kwake mtu yoyote hatakae kuwa na zaidi ya milioni mbili ni fisadi. Huyu ndio kichwa cha vijana wa CDM
Naona CDM wameanza kuvizia kuichukua iliyokuwa himaya ya Rostam. Nafikiri kati ya vitu ambavyo jamaa hawa waliwahi kuwaza au ku-foresee ni pale walipoamua kufanya ziara ya ujenzi wa chama mkoani Tabora mapema mwaka huu ambako pia Dr. Slaa aliupatia mkoa huo hadhi ya kutumika kutangaza/kuongeza majina mengine katika Orodha ya Mafisadi. Ziara hiyo itakuwa ni utangulzi mzuri wa kazi nyingine inayoanza kesho ikiongozwa na Baraza la Vijana (BAVICHA). Makamanda kibao watakuwa mkutanoni kesho. Kama kawa maandamano yataanza kwanza.
Operesheni hii inaitwa Operesheni Chuku Igunga (OCI). Mwenyekiti Heche amezungumza na waandishi wa habari leo kuwajuza tukio la kesho. Ambapo pia 'kamgonga' vibaya, JK na Pinda katika udhaifu wa serikali kuchukua hatua madhubuti kumaliza tatizo la umeme. Mnataka habari zaidi wakuu...? Naomba kuwasilisha.
Ben,Mimi ni Indepenent Thinker tena fikra zangu zipo Cognition, tofauti na nyie Pro-CDM ni mateka wa mwenyekiti wenu Mbowe fikra zake ndio mnazitumia wote! Mfano mdogo tumeona kwa Kafulila, tumeona kwa Zitto Kabwe, alivyotaka kugombania Uenyekiti, leo hii tumeona kwa Shibuda amekataa kuwa mateka wa fikra za mwenyekiti unaweza kupoteza ubunge, tumeona uchaguzi wa BAVICHA wewe mwenyewe wamekutosa na unajua kwa nini lakini kwa sababu fikra za mwenyekiti, tumeona suala la Madiwani kina Mallah wamekwenda tofauti na fikra za Mwenyekiti nini kimetokea!Mambo yapo mengi sana ndani ya CDM yanaenda kwa fikra za MwenyekitiHayo mapungufu yako usiyalete huku,una uwezo kabisa wa kuyaficha......Ritz,Naona umeathirika sana na mfumo wa zidumu fikra bora za Mwenyekiti kwa kaumini hata mwenyekiti wa chama chako ndiye mwenye akili kuliko wote...hebu toka huko kwenye fikra za kijima.This is 21st century for God's sake.Ungesema haya 20 years ago, you could be stoned to death ! ! !