Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wangu (BAVICHA) ipo kwa sasa hivi majukumu yake makubwa ni kutoa Matamko.
Taingia Heche achaguliwe kaishatoa matamko zaidi ya 200, hakuna kitu zaidi ya kushinda kavaa magwanda tu
Mkuu wangu (BAVICHA) ipo kwa sasa hivi majukumu yake makubwa ni kutoa Matamko.
Taingia Heche achaguliwe kaishatoa matamko zaidi ya 200, hakuna kitu zaidi ya kushinda kavaa magwanda tu
Pro-CDM JF, ebu fanyane Donation kila mmoja wenu at least atoe mia tano (500). mmtafutieni nyumba Heche.
Ni aibu kiongozi wa BAVICHA kuendelea kuishi kwa kaka yake pale Sinza Mori.
Kaka yake hawezi kumuambia analalamikia pembeni ni mzigo kwa kweli
Sisi ni vijana masikini hatuna wazazi wanasiasa wanaoturithisha madaraka na ufisadi so atajengaje wakati ardhi zote mnamiliki nyie. Hebu mpatie mauzo ya wiki 1 kutoka pale BigBon au kwenye malori yako ya mafuta uone kama hata jenga.Pro-CDM JF, ebu fanyane Donation kila mmoja wenu at least atoe mia tano (500). mmtafutieni nyumba Heche.
Ni aibu kiongozi wa BAVICHA kuendelea kuishi kwa kaka yake pale Sinza Mori.
Kaka yake hawezi kumuambia analalamikia pembeni ni mzigo kwa kweli
Pro-CDM JF, ebu fanyane Donation kila mmoja wenu at least atoe mia tano (500). mmtafutieni nyumba Heche.
Ni aibu kiongozi wa BAVICHA kuendelea kuishi kwa kaka yake pale Sinza Mori.
Kaka yake hawezi kumuambia analalamikia pembeni ni mzigo kwa kweli
Kwani ni majukumu gani ambayo hawajatekeleza mpaka ukafikia kutoa thread kama hii? Kuna kipindi ukitoa post inabidi iwe na nyama kidigo kuliko kuwapa watu kazi kama zilivyo tetesi. Acha uvivu wa kufikiri, hujaanisha nini majukumu yao, wameshindwa kutekeleza yepi jambo ambalo lingelonyesha weakness zao!Wakuu habari?..
Sina hakika kama bavicha imekufa au ndo viongozi wake hawajui majukumu yao?..
Kwa yeyote mwenye kuyafahamu majukumu hayo naomba awajuze wenzetu hawa..
Hayo ni maisha binafsi sana na wala wewe si kaka yake! Mbona mawaziri wameishi mahotelini zaidi ya miezi sita lakini hujaliona hilo mpaka la BAVICHA?Pro-eCDM JF, ebu fanyane Donation kila mmoja wenu at least atoe mia tano (500). mmtafutieni nyumba Heche.
Ni aibu kiongozi wa BAVICHA kuendelea kuishi kwa kaka yake pale Sinza Mori.
Kaka yake hawezi kumuambia analalamikia pembeni ni mzigo kwa kweli