Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
<br />Nyie watu mnatuchefua kwa matusi yenu, kwani hamna hoja? kama hujui walikozipata hizo hela si ukae kimya? kwani wewe huna mama? huoni kuwa unajipa nuksi kuwatukana mama zetu? Eeeeeee mungu ondoa pepo hili.
<br />
sikujua kuwa na wewe ni mpumbavu kiasi kikubwa hivyo. Mko wengi nendeni mkajiloge wenyewe. Chadema tunasonga mbele bila uwoga, ukombozi wa nchi hii hauji kwa ndoto za kipumbavu, bali kwa gharama na jasho la watu wenye utu na uzalendo wa kweli kutoka mioyoni mwao. Chadema tutaandamana, nyie endeleeni kuloga, na Mungu yupo upande wetu, haki haijawahi kushindwa hata siku moja.