Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Nimeipenda hii tajaribu
Hii nouma,no outward calls,no inward call yaani simu inageuka bubu,haikwambii kwamba someone is not reachable,error in network connection e.t.cWakorofi wote wenye simu za kichina wekeni kwenye flight mode.Hiyo ni kiboko simu haiiti wala nini.
ndio unavyo mfanyia mumeo nini?nyie wanaume wabaya sana, si ndio maana tunawatwaga makonde af mnasema mnaonewa!!