DEVINE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 536
- 86
Ili kuepusha varangati na mkewe jamaa aliamua kumsave hawara yake 'battery low' kwenye simu.Siku moja jamaa baada ya kutoka kuoga akamkuta mkewe anaangaika kuiweka simu yake kwenye chaji ikambidi aulize;
mume:wife vipi mbona unaichomeka kwenye chaji simu yangu wakati iko full,imekesha kwenye chaji?!
mke:..hata mie nashangaa imeanza kulia battery low muda mrefu lakini nikiichomeka kwenye chaji ni battery full.
mume:wife vipi mbona unaichomeka kwenye chaji simu yangu wakati iko full,imekesha kwenye chaji?!
mke:..hata mie nashangaa imeanza kulia battery low muda mrefu lakini nikiichomeka kwenye chaji ni battery full.