Fabolous
JF-Expert Member
- Sep 23, 2010
- 2,509
- 2,695
kuna dada mmoja humu jf anaitwa zubeda ananikera sana
jiitahidi ulete picha mkuu
Ana udini sana Zubeda na inaonekana elimu yake ndogo sana.
kuna dada mmoja humu jf anaitwa zubeda ananikera sana
jiitahidi ulete picha mkuu
Na wewe unataka kuwa Bwabwa? :angry:
Hapo ndipo dili inakamilika.......JK sasa kabaki mwenyewe ataenda wapi na wapi baada ya makamanda wake wote kuingia mitini...........Hizo ndizo alama za wakati..
lol! usisahau kumpigia kura yako Rais Mtarajiwa Dr Slaa na mbunge wa chadema katika jimbo lako.
Sasa unaongea kama THE KING. Nashukuru umenisoma hatimaye katikati ya Mistari..........
Kupiga kura ni lazima saaana kwa dr Slaa na siyo sisi tu ila tuwakumbushe na kuwasisitiza Dada zetu, Mama zetu, Wake zetu na Marafiki zetu wa Kike maana hawa inaweza kuwa shida kidogo na ni wepesi kusahau. Wakiona tu picha ya Muungwana, Hamira inaanza kufanya kazi.
Wewe ndiyo unataka kuwa bwabwa. Katika habari zooote, umeona hii tu ndiyo uchangie?
Wase*ge utawafahamu tu. Dr. Slaa alisema kuwa "umamrushia swali la kichokozi na akichukia, anaropoka."
Kwani Zubeda ni jina la KIUME? Wa kuja bana......!!! Halafu unajiita The king, king gani wewe?
Nenda kavae Crown na ujiite The QUEEN. You will look good too as bwabwa!!!!!
Nilikuwa sifahamu kuwa kuna ma King kama ma Queen .......
Anapogizwa kufanya kazi huwa hakosei hata kidogo. Huyu ni Mbowe na sasa hivi hapa viwanja vya relini Arusha amethibitisha hilo. Amepoteza yale matumaini kidogo aliyokuwa nayo Batilda Buriani kwani ameiteka vilivyo Arusha.
Amini usiamini,watu ni wengi kiasi kwamba hata ukitema mate hayafiki chini. Baadhi ya shughuli zimesimama ikiwemo zile za biashara kwani watu wamejitokeza kwa wingi kumpa Shavu Lema. Dalili zinaonesha hapa tuna Mbunge wa 15 toka CHADEMA hadi sasa.
Wadau tulioko Ar tushirikiane kuleta habari. Sina kamera ningeweka picha za kufa mtu.