FarLeftist
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 363
- 20
CHADEMA imemfanya kitu mbaya Batilda, Pole mama...........
Mkuu naona umechakachua hadi Avatar yangu
Namsubiri MWANA JF NGONGO aje kusema saundi zake!
Naona leo yuko kimya sana!
Lakini kwavile napajua grosari kwake namfuata sasa hivi!
Wmekosa ujasiri au wamejipanga kutafuta visingizio? Maana mambo yanavykwenda...Namsubiri MWANA JF NGONGO aje kusema saundi zake!
Naona leo yuko kimya sana!
Lakini kwavile napajua grosari kwake namfuata sasa hivi!
Natamani anizalie mtoto nimwite BAMBUCHA
Natamani anizalie mtoto nimwite BAMBUCHA