Huyu Mama Buriani kuna watu wako nyuma yake ni hatari sana kwa maendeleo ya TZ ni watuhumiwa wa ufisadi wanao waweka watu wa kuwafagilia njia yao ya wizi,wananchi tumegundua,Mungu ni mkubwa.Ni mmoja wa wezi, wajanja na walaghai wa nchi yetu tunayejitayarisha kumtosa.
Nilikua nasikiliza BBC mcahan huu huyu mama mgombea wa Arusha alikua anahojiwa na BBC kuhusu green guards wa CCM.
Ajabu ameshindwa kujibu lolote...anongea kwa panic na anachodai ni kuwa hata Chadema wana Red Brigades ambao wamefundishwa mafunzo ya kijeshi.
Anadai yeye tayari ana kura 9000 za maoni hivyo ana 50% ya kura za Arusha. Lema yeye kateuliwa tu na mwenyekiti wake na kupachikwa Arusha.
Duh! anavyoongea utadhani hana PhD
Nadhani baada ya uchaguzi hospitali nyingi zitajaa wagonjwa wengi wanaosumbuliwa na pressure including huyu mama
Kazi nzito
Shemeji kaza buti tu. wakatoliki hawana chao Arusha.