Elections 2010 Batilda Burian karibia anadata jamani... Mlio karibu naye msaidieni

Hayo ni matokea ya kuwekwa na Mtu kugombea kwa maslahi binafsi wakati wananchi wamegundua siri hiyo.Sasa waliomuweka hapo wampigie kura,maana Wana Arusha wanamtaka mgombea wa Chadema.
 
Huyu mama ni shujaa maana anapambana vikali na madume wala hababaiki.Atashinda kwa kishindo na kuwafanya wabaki wakishangaa.
 
Ni mmoja wa wezi, wajanja na walaghai wa nchi yetu tunayejitayarisha kumtosa.
Huyu Mama Buriani kuna watu wako nyuma yake ni hatari sana kwa maendeleo ya TZ ni watuhumiwa wa ufisadi wanao waweka watu wa kuwafagilia njia yao ya wizi,wananchi tumegundua,Mungu ni mkubwa.
 
Nilikua nasikiliza BBC mcahan huu huyu mama mgombea wa Arusha alikua anahojiwa na BBC kuhusu green guards wa CCM.
Ajabu ameshindwa kujibu lolote...anongea kwa panic na anachodai ni kuwa hata Chadema wana Red Brigades ambao wamefundishwa mafunzo ya kijeshi.

Anadai yeye tayari ana kura 9000 za maoni hivyo ana 50% ya kura za Arusha. Lema yeye kateuliwa tu na mwenyekiti wake na kupachikwa Arusha.

Duh! anavyoongea utadhani hana PhD

Nadhani baada ya uchaguzi hospitali nyingi zitajaa wagonjwa wengi wanaosumbuliwa na pressure including huyu mama

Kazi nzito


Mbona wewe unalialia kama wale mademu wa Bondeni secondary
 
Nimesikiliza mahojiano ya Buriani na BBC! Kwa kweli typical kabisa ya CCM hakuongea ktk kulenga kumsaidia mwanajimbo la Arusha. Amesema kuwa yeye ni msomi na anakubalika sana ktk mikutano yake watu wanajaa sana hasa watoto! Akaendelea kusema kuwa anafahamika sana hasa kwa wototo, na hata ukimuuliza mtoto yeyote hapo Arusha mjini atakwambia mbunge ni Buriani. Sikumsikia akiongelea hata swala moja la kisera kwa maana kuona yeye akiwa sehemu ya madiwani atajaribu kuleta mabadiliko gani. Usual stories za barabara. Kwa kweli bila upendeleo au ushabiki kwa mtu asiyemjua ni mpaka uambiwe huyo anayeongea ana PhD!! Kazi kweli kweli.
 
Back
Top Bottom