kipipili
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 1,590
- 183
kama avatar yakoWatu wengine ni viumbe wa ajabu sana! Inawezekana labda alikwenda kwa sangoma, sijui "Sheh Hayahaya Usoni" akaliwa hela, akalala hukohuko na kuhakikishiwa kuwa atashinda! Mambo yamekwenda ndivyo sivyo haamini kilichotokea, anag'ang'ania ameshinda! Mwambieni akafanye shughuli zingine ambazo hufanywa na mama zetu mitaani za kujitafutia kipato ili apate uzoefu kamili wa maisha ya uswazi! huyo aliye mwambia kazi ni ubunge tu alimmaliza kisaikolojia! Akafugue hata genge la mama lishe atapata wateja tena mpaka wa kimataifa hapo A-Town. Mpeni ushauri nasaha!