Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Kwa kujizungusha kuheshimu matakwa ya wapigakura dada yangu amejifuta yeye mwenyewe katika siasa za Arusha ni vyema arudi kwenye NGO ajipange upya.................
Lowassa naye yupo ndani ya jengo la Manispaa.
Very good Arusha inawezekana kuna wazee wenye busara kuliko wale wa dar es salaam wa Jey key.
Lazima akubali tu. Lbda wangemwacha tuone atafanyaje- kugoma, kuandamana au....
Imekula kwake
Taarifa nilizonazo... ni kwamba... baada ya wazee wenye busara kumshauri.. AMEKUBALI kusaini matokeo hayo.
Kwa kujizungusha kuheshimu matakwa ya wapigakura dada yangu amejifuta yeye mwenyewe katika siasa za Arusha ni vyema arudi kwenye NGO ajipange upya.................
Ndugu zangu hii ni vise versa, kumbe Lema ndo alikuwa anagoma kusaini matokeo, wametangaza sasa hivi kwamba Batilda ndo kashinda Arusha mjini.
Bado haijatangazwa... Batilda ni kwamba kagoma kusign kushindwa. Lema kashinda ila watu ni wabishi... Ukicheki hapo CCM wilaya watu wanashangilia CCM na hawa subutu kwenda manispaa...