Bastola hii hii!! Benki

Amoeba

JF-Expert Member
Aug 20, 2009
3,292
781
Wakuru, naomba tuulizane kiundani, benki nyingi zinazuia mtu kuingia na bunduki na siraha zingine ndani. navyojua mm mtu huamua kununua siraha (na kumiliki kihalali) pindi anapoona kwamba kuna ulazima wa kuwa nayo katika kulinda usalama wake na mali zake. kwa utaratibu wa benki nyingi, hawana dhamana ya fedha yako mapaka pale unapokuwa umedeposit kwao, hata kama upo ndani ya malango yao! kwa hiyo ni juu yako kulinda mali yako pindi unapokuwa haujakabidhi benki, inakuwaje unazuiwa kuingia na bunduki ilhali ukivamiwa na majambazi ndani ya benki,ukiwa kwenye foleni, au ndani ya bulk cash teller na kuchukua kamtaji kako inakuwa imekula kwako? mm nadhani kunakitu hapa hakijakaa vizuri!! naombeni msaada
 
Wakuru, naomba tuulizane kiundani, benki nyingi zinazuia mtu kuingia na bunduki na siraha zingine ndani. navyojua mm mtu huamua kununua siraha (na kumiliki kihalali) pindi anapoona kwamba kuna ulazima wa kuwa nayo katika kulinda usalama wake na mali zake. kwa utaratibu wa benki nyingi, hawana dhamana ya fedha yako mapaka pale unapokuwa umedeposit kwao, hata kama upo ndani ya malango yao! kwa hiyo ni juu yako kulinda mali yako pindi unapokuwa haujakabidhi benki, inakuwaje unazuiwa kuingia na bunduki ilhali ukivamiwa na majambazi ndani ya benki,ukiwa kwenye foleni, au ndani ya bulk cash teller na kuchukua kamtaji kako inakuwa imekula kwako? mm nadhani kunakitu hapa hakijakaa vizuri!! naombeni msaada


Kusema kweli hili ni jambo muhimu sana haswa tukiangalia jinsi ambvyo matukio yamezidi kuwa ya ajabu hata mabomu ya kutupwa kutumika ndani ya Benki.
Inastahili Benki zetu ziimarishe ulinzi, kila anayeingia benki apitie kwenye X-ray machine na kama kuna kitu anatakiwa kuacha mlangoni basi aache mahali panaeleweka na kwa taratibu inayoeleweka. Inashangaza kuwa Benki zetu hata hazina mfumo wa ulinzi ndani kwa ndani. Nyingi hazina hata security cameras? cctv zinatakiwa kufungwa kila Benki.
 
huwezi kuwageuzia negligence hapo kana kwamba wameshindwa kulinda mali yako baada ya kukunyima wewe haki ya kuilinda binafsi?
 
Mi nadhani wazo zuri kulinda mali yako lakini kwa tabia za kitanzania ukiruhusu watu kuingia na bunduki bank kila siku watu watakuwa wanalia.labda sheria ibadilishwe kuwa ukishingia tu mlango wa bank chochote kitakachotokea ni wajibu wa bank kuwajibika
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom