Nipohaitena
Member
- Jan 6, 2011
- 22
- 0
kuna tetesi kuwa aliyekuwa mbunge wa rombo ameteuliwa kuwa balozi nchi ya Uswisi. kama kuna mwenye taarifa yoyote. inaniwia vigumu kukubali kutokana na kesi yake inayo endelea.
nawasilisha Ps.P
nawasilisha Ps.P