DavidHard
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 435
- 273
Du dingi mmoja alimfuma wife wake na kidume kingine geto.da dingi hasira si akaaga anakwenda kujitoa roho basi akabeba kiti cha kusimamia atakapovaa kitanzi .mother kwa ukauzu akamnyemelea kwa nyuma dingi ile anaweka kiti tu.mother anamwambia haya baba uwasalimie huko alafu fanya haraka ujinyonge nyumbani atakaye takeplace anataka kiti akakalie kuona hivyo ding akabadil siku ya kujinyonga akihaidi kufanya hivyo kesho yake.