Kwa taarifa nilizozisikia kutoaka ITV si muda mrefu kuna ajali imetokea kijiji cha Ngogwa wilayani Kahama basi kutoka Dar kuelekea Bukoba limegongana na lori na limeua watu 4 papo hapo na majeruhi kadhaa.
Tunaomba mlio karibu na tukio mtujuze zaidi
Tunaomba mlio karibu na tukio mtujuze zaidi