Basi la Sumry laungua, Dodoma

3squere

JF-Expert Member
Aug 2, 2011
925
181
Breaking nuuuz live! ; basi la summry lapata ajali
muda huu na kuwaka moto nje kidogo na dodoma
tukio linakuja muda si mrefu
 
dah, Mungu mkubwa, nimesafiri na sumri toka dar kwenda shinyanga jana, nimefika hapa shy usiku saa mbili....dar nilipanda saa kumi na mbili asbh. mwendo wao ni mkali kuliko mabasi yote, nashukuru Mungu nilifika salama.
 
Z


Hizi gari mungu saidia hii moja ya ajali ambayo imetokea ndani ya Mwaka mmoja.
 
Back
Top Bottom