Basi la SHABIBU lapata ajali

NGULI

JF-Expert Member
Mar 31, 2008
4,803
637
Basi la Shabibu la lifanyalo safari zake kati ya DODOMA na DAR limepata ajali likishindana na lori kuna maeruhi na inasemekana kuna at least watu 2 wamekufa. more news to come. Mungu aepushe vifo zaidi na poleni walioumia
 
habari hizi za ajali
zimeshanichosha,
bora waanze kufungwa hao madereva..
 
Kila wakati ajali ajali ajali....Inasikitisha sana...R.I.P wale wote waliokufa katika ajali hii,na wale majeruhi tuwaombee wapone haraka
 
inasikitisha sana kusikia hizi news hasa ukiangalia jinsi barabara ya Dar-Dom ilivyo relatively safe!!
 
nasikia kuna makusudi fulani yanafanyika
kutokana na imani za kishirikina,
wanatoa watu kafara,
but i hope i am wrong.
but hizo tetesi zipo saana.
 
Ajali imetokea mbele kidogo tu ya CHALINZE na majeruhi wamekimbizwa ospital ya TUMBI. Tayari vyombo vya habari vimefika hapa eneo la tukio. Sababu ni mwendo kasi wa dereva wa basi la SHABIBU.
 
nasikia kuna makusudi fulani yanafanyika
kutokana na imani za kishirikina,
wanatoa watu kafara,
but i hope i am wrong.
but hizo tetesi zipo saana.
Mkuu hizi kafara zipo sana aisee kwa hawa transporters
 
Hizi ajali sasa ni za kila siku jamani?? Kama sababu ni mwendo kasi vipi kuhusu zile speed governors ambazo recently nimesikia mabasi yaendayo mikoani na magari ya mizigo zimewekewa??? Tutaishi kweli tuone wajukuu??? Ndo maana umri wa kuishi Mtz unazidi kushuka siku hadi siku it will reach a time tutaambiwa life expectancy ni 30.
RIP to all those who died.

Authorities you better do smething quick before it gets worse. Ishakuwa trend sasa every week or two weeks ajali somewhere.
 
Je mabasi yetu yana viwango vinavyokubalika kusafirisha abiria? Hivi kila ajali tatizo ni mwendo kasi wa dereva?

hata kama hayana viwango
lakini ni viwango hivyo hivyo
vinavyotumika africa nzima.
iweje sisi ndo tuwe
na ajali kila siku?
 
Halafu vipi kuhusu viwango vya haya mabasi,je yanastahili(yanakidhi sifa za) kubeba abiria?,maana inasemekana mabasi haya huundwa kwa kutumia chasis za malori(kwamba yananunuliwa malori inachukuliwa chasis na kuvalishwa bodi ya basi from Body buliding companies kama Quality group n.k)...Kuna kipindi Polisi,TBS na SUMATRA walianza kulifuatilia hili ikiwa ni pamoja na kuyakamata mabasi yote yenye chasis za malori(FUSO,SCANIA,ISUZU n.k),waliishia wapi??

Kuna haja ya zoezi hili kuendelea maana ukiangalia karibu asilimia 95 ya mabasi ya abiria Tanzania hayakidhi viwango vya kubeba abiria,ni majeneza/makaburi yanayotembea
 
hata kama hayana viwango
lakini ni viwango hivyo hivyo
vinavyotumika africa nzima.
iweje sisi ndo tuwe
na ajali kila siku?

Mkuu Boss,

Nilikuwa nataka kutizama kwa mtazamo mpana zaidi. Naamini kabisa kuwa mwendo kasi ni moja ya sababu ya hizi ajali. Lakini nafikiri kuna zaidi ya mwendo kasi. Mfano, je madereva wote ni competent? Haya magari ni mazima kweli? Maana hata tairi mbovu tu inaweza kuwa sababu ya ajali. Sijui kama kuna uchunguzi wa kina huwa unafanyika kila ajali inapotokea kutafuta sababu ya ajali. Si ajabu kukuta baadhi ya hizi ajali, mwendo kasi ni secondary cause.
 
nasikia kuna makusudi fulani yanafanyika
kutokana na imani za kishirikina,
wanatoa watu kafara,
but i hope i am wrong.
but hizo tetesi zipo saana.

labda niongezee..insurance scam(write off ur car,unalipwa jipya)
 
Ajali imetokea mbele kidogo tu ya CHALINZE na majeruhi wamekimbizwa ospital ya TUMBI. Tayari vyombo vya habari vimefika hapa eneo la tukio. Sababu ni mwendo kasi wa dereva wa basi la SHABIBU.


je tunahitaji speed governor??
 
Mkuu Boss,

Nilikuwa nataka kutizama kwa mtazamo mpana zaidi. Naamini kabisa kuwa mwendo kasi ni moja ya sababu ya hizi ajali. Lakini nafikiri kuna zaidi ya mwendo kasi. Mfano, je madereva wote ni competent? Haya magari ni mazima kweli? Maana hata tairi mbovu tu inaweza kuwa sababu ya ajali. Sijui kama kuna uchunguzi wa kina huwa unafanyika kila ajali inapotokea kutafuta sababu ya ajali. Si ajabu kukuta baadhi ya hizi ajali, mwendo kasi ni secondary cause.

ajali zetu zinasababishwa na hayo yote,sio speeding tu,ni collection of things which can be prevented
 
Nilikuwa kwenye basi la Abood. Tumefika sehemu ya ajali, na kukuta juhudi za kuwanasua majeruhi zinaendelea. Ni ajali mbaya sana. Basi limejiingiza kwenye bodi ya lori. Dereva amekwepa upande wake na kuacha upande ule mwingine uingie kwenye lori karibu nusu. Inaonekana ni miscalculated overtake.
 
Hakuna cha kafara wala nini, tusimsingizie shetani kwenye kila kitu, kikubwa kinacho changia hizi ajali za mara kwa mara ni uzembe wa madereva kutokana na umri ,uzoefu, maadili mabovu ya kazi, na kutojua sheria na kingine kikubwa ni presha toka kwa abiria wanao taka kufika haraka, hilo ndio tatizo kubwa linalo changia ajali. Ukiongea na asilimia kuwba ya wasariri wanao safiri sana utasikai wana sema wanapenda basi fulani sababu lina fika Arusha muda fulani ambao ni mapema,.
 
Really we are tired of this chorus
'OVER SPEED AND CARELESS DRIVING' then what's next?
Poleni saana wahanga wa ajali.
 
Nilikuwa kwenye basi la Abood. Tumefika sehemu ya ajali, na kukuta juhudi za kuwanasua majeruhi zinaendelea. Ni ajali mbaya sana. Basi limejiingiza kwenye bodi ya lori. Dereva amekwepa upande wake na kuacha upande ule mwingine uingie kwenye lori karibu nusu. Inaonekana ni miscalculated overtake.

Sad................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom