Bashe unahujumiwa CCM!

Ileje

JF-Expert Member
Dec 20, 2011
8,797
12,239
Harakati za Bashe kisiasa ndani ya CCM zinakabiliana na vikwazo vingi.

Baadhi ya vichache na vilivyoathiri maisha yake kisiasa ni kama vifuatavyo:

  1. Ndani ya UVCCM anakabiliwa na upinzani kila kona na hivyo kuhatarisha nafasi yake kiuongozi!
  2. Madai ya kutokuwa raia wa Tanzania ambayo hadi sasa ufumbuzi wake unatia shaka. Hii ilipelekea kuenguliwa katika kugombea ubunge kupitia CCM pamoja na kushika nafasi ya kwanza katika kura za maoni na badala yake akateuliwa hasimu wake mkubwa kisiasa Bw. Kingwangwalla ambaye alishika nafasi ya tatu katika kura za maoni!
  3. Kuzuiliwa na hasimu wake mkubwa Bw. Kingwangwalla kurudisha fomu ya kugombea ujumbe wa NEC (CCM) kwa madai kuwa muda wa kurudisha fomu ulikwisha!
  4. Kutishiwa bastola na hasimu wake mkubwa Bw. Kingwangwalla, kitu ambacho si cha kawaida kwa watu walio chama kimoja!

Maswali ya kujiuliza hapa ni:

  1. Je Kingwangwalla anatumwa kumhujumu Bashe na wakubwa wake kichama?
  2. Je Kingwangwalla anatumiwa na vigogo na kwa lengo na manufaa gani ?
  3. Je Kingwangwalla alikuwa time keeper wakati wa kurudisha fomu?
  4. Je Kingwangwalla hastahili kuchukuliwa hatua kichama kwa kumtishia Bashe kwa bastola?
 
Ngumi za walevi. Mmoja anarusha ngumi anadondoka mwingine anakwepa anadondoka. Hahaha raha sana.
 
Kwani chama kiko kimoja? Bashe naye atumie akili kidogo, alipoanzisha vita na mtoto wa Raisi haya ndiyo matunda yake.
 
Mkuu Ileje, mimi nilidhani hii ni thread kimhusu Bashe kuhujumiwa CCM!. Kwa taarifa yako, hakuna hujuma yoyote, hayo uliyotaja ni "zengwe" tuu!.

Kumbe hata la kumtisha mtu bastola ni kosa la kuchukuliwa hatua kichama?. Kumbe bado tuna watu humu ambao bado wanaamini CCM ni chama dola!.

Safari ya ukombozi wa kifikra ni ngumu kuliko inavyo dhaniwa!.

P.
 
Last edited by a moderator:
Pasco

CCM inapaswa kuchukua hatua ili kuonyesha kutopendezwa na kitendo hicho! CCM kuendelea kukaa kimya bila kuchukua hatua na ukizingatia kuwa ni chama tawala kunaweza kuvifanya vyombo vya dola kutofanya kazi zao kwa uhuru!
 
Last edited by a moderator:
Mawazo yako yapelekwe kwa TENDWA ili afute hicho chama ambacho viongozi wake wanahatarisha maisha ya wenzao, au hilo hajaliona ili awaite wanahabari atangaze nia ya kuifuta CCM? Kama ushahidi hautoshi kuna ile sakata ya ADEN RAGE pale Igunga na Mguu wa kuku kiunoni.
 
I love SSM!! Long live!!! Watatupiana makonde weeee!!! Ila kwa Bashe kwa ushauri mdogo tu ni hivi kwa kuwa alikuwa na tifu na mtoto wa mfalme hakuna namna yoyote ile atapata cheo SSM kama kambi ya mtoto wa mfalme itakuwa inashika hatamu!!! Apumzike tu hadi ile kambi nyingine itakaposhika hatamu if at all hakuna kuwa chama cha upinzani 2015. Again viva SSM!!
 
Unajuwa Mwalimu alipokemea ukaburu ndani ya Tanzania hakumaanisha kuwakubali watu kama Bashe!
Mabarabara yako mengi aende huko akafanye uhuni wake! Unapokuwa kiongozi lazima ujiheshimu sio unaishi kihunihuni.
 
Harakati za Bashe kisiasa ndani ya CCM zinakabiliana na vikwazo vingi.

Baadhi ya vichache na vilivyoathiri maisha yake kisiasa ni kama vifuatavyo:

  1. Ndani ya UVCCM anakabiliwa na upinzani kila kona na hivyo kuhatarisha nafasi yake kiuongozi!
  2. Madai ya kutokuwa raia wa Tanzania ambayo hadi sasa ufumbuzi wake unatia shaka. Hii ilipelekea kuenguliwa katika kugombea ubunge kupitia CCM pamoja na kushika nafasi ya kwanza katika kura za maoni na badala yake akateuliwa hasimu wake mkubwa kisiasa Bw. Kingwangwalla ambaye alishika nafasi ya tatu katika kura za maoni!
  3. Kuzuiliwa na hasimu wake mkubwa Bw. Kingwangwalla kurudisha fomu ya kugombea ujumbe wa NEC (CCM) kwa madai kuwa muda wa kurudisha fomu ulikwisha!
  4. Kutishiwa bastola na hasimu wake mkubwa Bw. Kingwangwalla, kitu ambacho si cha kawaida kwa watu walio chama kimoja!

Maswali ya kujiuliza hapa ni:

  1. Je Kingwangwalla anatumwa kumhujumu Bashe na wakubwa wake kichama?
  2. Je Kingwangwalla anatumiwa na vigogo na kwa lengo na manufaa gani ?
  3. Je Kingwangwalla alikuwa time keeper wakati wa kurudisha fomu?
  4. Je Kingwangwalla hastahili kuchukuliwa hatua kichama kwa kumtishia Bashe kwa bastola?
Hivi ni lazima Bashe awe kiongozi ndio aweze kutoa mchango wake kwa maendeleo ya taifa?
 
Hivi what is so special about uraia wa Tanzania?

Mbona mtu yeyote akizaliwa USA au UK swala la uraia linakuwa halina utata kabisa.
 
Harakati za Bashe kisiasa ndani ya CCM zinakabiliana na vikwazo vingi.

Baadhi ya vichache na vilivyoathiri maisha yake kisiasa ni kama vifuatavyo:

  1. Ndani ya UVCCM anakabiliwa na upinzani kila kona na hivyo kuhatarisha nafasi yake kiuongozi!
  2. Madai ya kutokuwa raia wa Tanzania ambayo hadi sasa ufumbuzi wake unatia shaka. Hii ilipelekea kuenguliwa katika kugombea ubunge kupitia CCM pamoja na kushika nafasi ya kwanza katika kura za maoni na badala yake akateuliwa hasimu wake mkubwa kisiasa Bw. Kingwangwalla ambaye alishika nafasi ya tatu katika kura za maoni!
  3. Kuzuiliwa na hasimu wake mkubwa Bw. Kingwangwalla kurudisha fomu ya kugombea ujumbe wa NEC (CCM) kwa madai kuwa muda wa kurudisha fomu ulikwisha!
  4. Kutishiwa bastola na hasimu wake mkubwa Bw. Kingwangwalla, kitu ambacho si cha kawaida kwa watu walio chama kimoja!

Maswali ya kujiuliza hapa ni:

  1. Je Kingwangwalla anatumwa kumhujumu Bashe na wakubwa wake kichama?
  2. Je Kingwangwalla anatumiwa na vigogo na kwa lengo na manufaa gani ?
  3. Je Kingwangwalla alikuwa time keeper wakati wa kurudisha fomu?
  4. Je Kingwangwalla hastahili kuchukuliwa hatua kichama kwa kumtishia Bashe kwa bastola?

Dah maswali yako ya msingi sana mkuu,nilitegemea Bashe kama hatendewi haki angefaili malalamiko yake katika kamati husika ili haki itendeke,aidha kama wakati wa vetting kwenye chama sijui kama huwaga wanatoa maelezo kama sababu za kuenguliwa,kama yapo basi anajua tatizo liko wapi na afanye nini ili wakati mwingine afanikiwe.Na zaidi maisha siyo lazima uwe mwanasiasa akiona siasa chafu awezi anakaa pembeni au apigane kuyapata mabadiliko anayoyataka ndani ya chama.
 
Kwani chama kiko kimoja? Bashe naye atumie akili kidogo, alipoanzisha vita na mtoto wa Raisi haya ndiyo matunda yake.

Mkuu acha kumdanganya,siku akitangaza kuhama ccm wiki haiishi utasikia uhamiaji wanawashikilia familia kadhaa kwa kosa la kuishi nchini kinyume cha sheria,achana na siasa zetu hizi tunaziweza wenyewe mtu unalishwa sumu afu unapewa uwaziri ili usubirishie kifo!
 
Back
Top Bottom