jaman nilisha sema hapa jf kuwa Mungu anapaotaka kufanya jambo huwa anatumia njia nyingi ccm wanasema kuwa wamejivua gamba na wanamsemaji wa chama ambaye ni nape sasa na huyu anatokea wp kukisemea chama'?amuoni ni Mungu anafanya kazi yake kwa sababu anataka kuleta mabadiliko makubwa sana kwa watu wake kwa sababu wamenyanyaswa sana