Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Mkuu hapo chini ni kwamba ulimaanisha NAPE NA KUNDI LAKE au Bashe kuighrimu CCM; maana kidogo sijakuelewa katika madai yako?
Msaada tafadhali katika hilo.
Msaada tafadhali katika hilo.
Kijana huyu na kundi lake amekuwa mstari wa mbele kukihujumu Chama cha mapinduzi kwa siasa zao za chuki na kutafuta ugomvi.
Ni jambo la ajabu na la kusikitisha sana kwani kijana huyu ana sifa ya kusaka ugomvi na inaonekana hadi kwenye utendaji wake kwenye akiongoza Habari Corporation.
Makala mbalimbali ambazo zimekuwa zinatolewa na magazeti ya habari corporation zimekuwa zinalenga kumhujumu Mhe Rais na viongozi waadilifu ndani ya chama na serikali.
Ikumbukwe kwamba Rostam na vijana wake kina Bashe ndio walimpiga marufuku Nape asikanyage Igunga wakati wa uchaguzi mdogo kwani wao wanaendekeza ugomvi na wana CCM zaidi badala ya kuleta maendeleo ya nchi hii.
Natoa rai kwa serikali kufuatilia nyendo za kundi hili kwani latishia ustawi wa nchi hii kwani hata uraia wao unatiliwa shaka na mpaka kesho hatujapata uthibitisho wa uraia wao.
Kuna umuhimu hili zoezi la vitambulisho vya taifa likatuondolea watu kama hawa nchini.