WAMURUBHERE
JF-Expert Member
- Apr 21, 2010
- 337
- 25
barua ndefu kama hii...
acha uvivu wa kusoma umezowea short cut kama ccm eeh!
barua ndefu kama hii...
Bashe ni Kichwa kumbe!
na huo ndiyo ulikuwa mchezo wa viongozi wa Elimu na wanasiasa miaka ya 1970,1980 and early 1990's katika mkoa wa Tabora.
Ahsanteni sana mliotukana na mliochangia, na wale mliohukumu, naomba mfahamu yafuatayo, kwamba I am a bold young man and I am never afraid of putting up a fight. Lakini sintomshambulia Bashe kwa kuwa amejibu ujumbe huo akiwa na hasira na kwa kuwa hoja zote hizo ni marudio ya mambo yale yale na ambayo, yote, kwa bahati nzuri nimeishayatolea ufafanuzi zaidi ya mara moja! Kwa wale wenye kiu ya kuujua ukweli au basi hata kutaka kunihukumu kwa kunisikiliza ili ubalance, basi utayapata majibu humu JF. Search either KIGWANGALLA au kigwangala na utapata orodha ya post zilizonitaja na uta-link hapa kuwapa faida wanaJF wengine!
Wakatabahu,
HK.
Mkuu mimi nimesona nao wote nzega hilo jina la bashe ni last name Mohammed ni middle nameMAKALA HII INAUKWELI MKUBWA SANA KWA BAADHI YA MAMBO, NI KWELI Dr KINGWANGALLAH ALISOMA NA BASHE, JAPO NAYE ALIKUWA ANAJULIKANA KAMA HUSSEIN MOHAMED.
JINA LA BASHE NI JIPYA PIA.
UWEZO WA BASHE SHULENI HAUKUWA MKUBWA SANA HAPO KITONGO NA HATA ALIPOKWENDA BADRI SIDHANI IWAPO ALIPATA MUUJIZA GANI HADI KUFAULU.
KINGWANGALLAH NI KICHWA HAKUFAULU LAKINI ALIKUWA NAUWEZO WA DARASANI NAKUMBUKA NIKIWA FM 4 ALIKUWA ANANIFUNDISHA BIOS NA CHEMISTRY HE KNEW THE SUBJECT VERY WELL. MUHIMBIRI NI KATI YA VYUOMakini na vigumu sana kwa mtu wa kawaida kumaliza hivyo kumalizakwake hakuna shaka japo jina aliiba.
BASHE NI MSOMALI , MGENI, WAKUJA NA SIO MWANANZEGA KWA VIGEZO VIFUATAVYO
1. UKIANGALIA KOO ZA NZEGA AMBAZO KWA KWELI ZILITOA MACHIFU NA VIONGOZI NA ZILIKANDAMIZWA NA WAZAZI WAKE BASHE. WALIKUJA KUWANYONYA WATANZANIA WAKATI WA UKOLONI HIVYO HAFAI KUWA KIONGOZI WETU.
2. BASHE AMEKUWA MTUMISHI WA MTUAMBAYE ANASIFA MBAYA TANZANIA , MAISHA YAKE YANATEGEMEA UFISADI NAHAJACHUKUA HATUA YA KUACHANA NA AMA KUMSHAURI BRO ROSTAM ABADILIKE NA KUTUONEA HURUMA AACHANE Na ufisadi YEYE ANATAKA NAFASI YA KUNYONYA ZAIDI.
NAJUA WAPO VIJANA WENGI WA NZEGA WENYE SIFA NA HAWANA HATA DOA KAMA ENG JOSEPH PIUS, JOSEPH MASSIMBA, DR REBECA SAMWEL NA WENGINE WENGI TUTAWASHAWISHI WAGOMBEE NA TUTAWAPA MCHANGO WA HALI NA MALI WASHIDE.
ASANTE BASHE KWA TAALIFA LAKINI WEWE PIA HUFAI
hahahaaaaaaaaaaaaaya MARIAM BA'
Ahsanteni sana mliotukana na mliochangia, na wale mliohukumu, naomba mfahamu yafuatayo, kwamba I am a bold young man and I am never afraid of putting up a fight. Lakini sintomshambulia Bashe kwa kuwa amejibu ujumbe huo akiwa na hasira na kwa kuwa hoja zote hizo ni marudio ya mambo yale yale na ambayo, yote, kwa bahati nzuri nimeishayatolea ufafanuzi zaidi ya mara moja! Kwa wale wenye kiu ya kuujua ukweli au basi hata kutaka kunihukumu kwa kunisikiliza ili ubalance, basi utayapata majibu humu JF. Search either KIGWANGALLA au kigwangala na utapata orodha ya post zilizonitaja na uta-link hapa kuwapa faida wanaJF wengine!
Wakatabahu,
HK.
sasa wanakulana wenyewe kwa wenyewe PATAMU HAPO;Bado JK na Mapacha watatuUliniudhi kwa mashambulizi yako ya kipuuzi juu ya sifa za Dr. Slaa. Nimesikitishwa sana kuwa your origin can not be traced(kitanda hakizai haramu). Kibaya, kwa kujua unatumia jina la mtu ambae umempoka haki yake kwa jitihada zake shuleni wewe ukiwa umefeli na yeye anasota tafuta suluhu naye hata kama hajui na wewe unajua.
Ni mbunge kwa utapeli si mwaminifu hata kwako binafsi hili linawekana tu CCM. Kwa vile unajiona uko matawi ya juu na kuwahukumu wengine sasa jifikirie kujihukumu mwenyewe even if your conscious is dead. If you don't clear your conscious now you will do it when it is too late and regrettable because evil are never corrected by pretex.
Hivi nyinyi magamba guts za kutudanganya mnazitoa wapi na hadi lini?
Duh!kumbe kuna mambo mengi nilikuwa siyajui kuhusiana na Hamisi Kingwangala!!
Mkuu mimi nimesona nao wote nzega hilo jina la bashe ni last name Mohammed ni middle name
Wanajamii sikilizeni kwa makini, haya yamekuja baada ya Hamis kuuliza swali la umeme ambalo Rostam, Bashe na Lowassa ndio Prime member................
Haya yote CCM waliyajua hata kabla ya uchaguzi, alas they didnt realise kwamba Hamis was fighting from within.
Hii yote ni ile vita ya mafisadi na ccm safi
Mtasikia mengi sana, ila kama mnaipenda Tanzania mtanielewa
Hamis amegusa mslahi ya wakubwa wa mafisadi and Bashe is their korokoroni
Jamani tuwe rational kidogo, hivi kwa darasa la saba kama kuna lolote lililotokea yeye Kigwangala alikuwa nafasi gani kulishawishi? Kwa umri huo ni wazi walioshiriki walikuwa ni watu wazima na yeye kama mtoto alipaswa tu kutekeleza. Lakini pia hatua kutoka primary hadi kuwa daktari ni kubwa sana, wengi tu walifaulu or rather kuchaguliwa std VII lakini hawakumaliza hata form two leo hii Hamis ni Daktari tunaweza kuhoji uwezo wake wa darasani ukizingatia mitihani migumu aliyofaulu?