HKigwangalla
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 717
- 971
Moderator, hauko fair kabisa, mbona unafuta post zangu???? kwa nini? Mbona mimi natukanwa hapa na ninasingiziwa mambo mengi na hauyafuti?
Kuna wakati nchi hii huwa siielewi. Huyu mteka meli alitamkwa kwamba si raia wa nchi hii. Anaachwa vipi kupiga siasa katika nchi ya kigeni?
Moderator, hauko fair kabisa, mbona unafuta post zangu???? kwa nini? Mbona mimi natukanwa hapa na ninasingiziwa mambo mengi na hauyafuti?
Moderator, hauko fair kabisa, mbona unafuta post zangu???? kwa nini? Mbona mimi natukanwa hapa na ninasingiziwa mambo mengi na hauyafuti?
Huyo muungwana ni mzaliwa wa Nzega lakini Uraia wake una 'UTATA' mkubwa mpaka pale atakaporekebisha nyaraka zake kwa kufuata utaratibu wa kisheria uliowekwa...na kama asiporekebisha nyaraka zake bado atalazimika kuendelea kuwa mpiga kelele huko majukwaani na kamwe Chama chochote kile cha siasa hakitaweza kumsimamisha kama mgombea kwenye uchaguzi wowote ule wenye mamlaka ya dola...
Bashe bado hana Uraia, anatakiwa arekebishe documentations zake...
Topical,
SDina uhakika sana kama utata wa uraia wake unakuja kila akigombea Ubunge tu. Nadhani kama hajarekebisha nyaraka zake hadi leo, na kama hatozirekebisha mpaka kufikia uchaguzi Mkuu wa chama mwakani, nakuhakikishia hawezi kuruhusiwa hata kugombea ubalozi wa shina. Mwanzoni utata wa uraia wake haukuwa wazi sana kisheria, kwa sasa wapo wengi wanaofahamu utata huo uko wapi!
Mimi, wakidhani nina haja ya kumshambulia, wamekuwa wakiniletea ma-scud yanayohusu utata wa uraia wake, sema sijawahi kuamua kumlipua...
Huyo muungwana ni mzaliwa wa Nzega lakini Uraia wake una 'UTATA' mkubwa mpaka pale atakaporekebisha nyaraka zake kwa kufuata utaratibu wa kisheria uliowekwa...na kama asiporekebisha nyaraka zake bado atalazimika kuendelea kuwa mpiga kelele huko majukwaani na kamwe Chama chochote kile cha siasa hakitaweza kumsimamisha kama mgombea kwenye uchaguzi wowote ule wenye mamlaka ya dola...
Huyo muungwana ni mzaliwa wa Nzega lakini Uraia wake una 'UTATA' mkubwa mpaka pale atakaporekebisha nyaraka zake kwa kufuata utaratibu wa kisheria uliowekwa...na kama asiporekebisha nyaraka zake bado atalazimika kuendelea kuwa mpiga kelele huko majukwaani na kamwe Chama chochote kile cha siasa hakitaweza kumsimamisha kama mgombea kwenye uchaguzi wowote ule wenye mamlaka ya dola...
Hii ni hali halisi. So what? tamaa ndizo zinazowafikisha hapo watoto wenu wa CCM.Hussein Bashe alikuwa ni mgombea wa kinyang'anyiro cha uenyekiti wa UVCCM kabla ya nafasi hiyo kutengwa kwa ajili wa wagombea kutoka visiwani. Alipojaribu kuwania nafasi ya Makamu Mwenyekiti alishindwa kutamba mbele ya Benno Malisa. Lakini kwa ustadi mkubwa muungwana huyu ameweza kutumia werevu wake na ukaribu wake na mafisadi wakwasi na kuwafanya wamteue kuwa mwenyekiti wa kukusanya maoni juu ya namna UVCCM inavyoweza kujibadili na kuwa ya kisasa. Katika kamati hii ambayo katibu wake ni katibu mkuu wa UVCCM Martine Shigela, yeye ndiye msemaji mkuu na sasa yeye ndiye msemaji mkuu wa UVCCM na hawa akina Shigela na Malisa sasa wanaripoti kwake.
Inasemekana sasa hivi yeye ndiye anayeendesha jumuiya hiyo kwa fedha anazozipata kutoka kwa wakwasi hao na hata ziara za Benno Malisa sasa hivi zimekuwa zikiandamana na Fred Lowassa, Bashe na girl friend wa Malisa Mboni Mhita. Hawa ndiyo wanaomfadhili Malisa na kumpangia nini cha kufanya na kuongea. Kimsingi Bashe na wakwasi wake wamefanikiwa kuigeuza UVCCM kuwa mdomo na chombo cha Lowassa na kwa njia hii Bashe amefanikiwa alichokuwa anakitafuta kwa muda mrefu, tena bila jasho. Hili limewezekana baada ya kubaini udhaifu na njaa ya Shigela na Malisa.
Acha ubazazi. Huyo kigeugeu na mnafiki mwezio Masha si alisema Wenye (MB) wa Nyamagana kwamba si raia ili asipate mpinzani kwenye kinyang'anyiro cha Ubunge kwa kutumia kifungu kinachompa Waziri wa Mambo hya Ndani kuthibitisha uraia wa mtu. Majibu uanayo, alibwagwa. Sasa credibility ya Masha inatoka wapi. Naye njaa tu alipewa visenti na Rostam akajivua utu wake.@HKingwangalla,
Kwa kumbukumbu zangu aliyekuwa Waziri wa mambo ya ndani ndugu Lawrence Masha (akiwa waziri) alitoa tamko rasmi kuhusu uraia wa Bashe ana alisema bila kumumunya maneno kuwa Bashe ni raia halali kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi. Sasa leo hii wewe mbunge unatuambia uraia wa Bashe una utata! Utata kwa vipi? Masha ambaye kwa taaluma ni mwanasheria alikosea? kati ya Masha na wewe Kingwangalla tumuamini nini?
Na tukiwa kwenye kuamini - wewe kama alibi unasifa stahiki? kwamba unaaminika kutoa ushahidi kuhusu jambo lolote likiwemo hili la uraia wa Bashe? Kwa mfani jina lako ni nani? una umri gani? unafanya kazi gani etx. Na hapa ningeomba utusaidie kwamba wewe binafsi jina lako ni Hamis Kingwangalla na muhimu zaidi (nasisitza muhimu zaidi) ulishawahi kuapa kwenye mahakama yoyote (dunia) kuhusu jina lako? kama ndio, ni wapi na kwa nini? Haya maswali ni muhimu maana yatasaidia kujua wewe kama alibi unaamika. 'Credibility is fundamentally important for any witness'
Bashe bado hana Uraia, anatakiwa arekebishe documentations zake...
Huyo muungwana ni mzaliwa wa Nzega lakini Uraia wake una 'UTATA' mkubwa mpaka pale atakaporekebisha nyaraka zake kwa kufuata utaratibu wa kisheria uliowekwa...na kama asiporekebisha nyaraka zake bado atalazimika kuendelea kuwa mpiga kelele huko majukwaani na kamwe Chama chochote kile cha siasa hakitaweza kumsimamisha kama mgombea kwenye uchaguzi wowote ule wenye mamlaka ya dola...
Huyo muungwana ni mzaliwa wa Nzega lakini Uraia wake una 'UTATA' mkubwa mpaka pale atakaporekebisha nyaraka zake kwa kufuata utaratibu wa kisheria uliowekwa...na kama asiporekebisha nyaraka zake bado atalazimika kuendelea kuwa mpiga kelele huko majukwaani na kamwe Chama chochote kile cha siasa hakitaweza kumsimamisha kama mgombea kwenye uchaguzi wowote ule wenye mamlaka ya dola...
Mimi, wakidhani nina haja ya kumshambulia, wamekuwa wakiniletea ma-scud yanayohusu utata wa uraia wake, sema sijawahi kuamua kumlipua...
kuna wakati nchi hii huwa siielewi. Huyu mteka meli alitamkwa kwamba si raia wa nchi hii. Anaachwa vipi kupiga siasa katika nchi ya kigeni?
Hussein Bashe alikuwa ni mgombea wa kinyang'anyiro cha uenyekiti wa UVCCM kabla ya nafasi hiyo kutengwa kwa ajili wa wagombea kutoka visiwani. Alipojaribu kuwania nafasi ya Makamu Mwenyekiti alishindwa kutamba mbele ya Benno Malisa. Lakini kwa ustadi mkubwa muungwana huyu ameweza kutumia werevu wake na ukaribu wake na mafisadi wakwasi na kuwafanya wamteue kuwa mwenyekiti wa kukusanya maoni juu ya namna UVCCM inavyoweza kujibadili na kuwa ya kisasa. Katika kamati hii ambayo katibu wake ni katibu mkuu wa UVCCM Martine Shigela, yeye ndiye msemaji mkuu na sasa yeye ndiye msemaji mkuu wa UVCCM na hawa akina Shigela na Malisa sasa wanaripoti kwake.
Inasemekana sasa hivi yeye ndiye anayeendesha jumuiya hiyo kwa fedha anazozipata kutoka kwa wakwasi hao na hata ziara za Benno Malisa sasa hivi zimekuwa zikiandamana na Fred Lowassa, Bashe na girl friend wa Malisa Mboni Mhita. Hawa ndiyo wanaomfadhili Malisa na kumpangia nini cha kufanya na kuongea. Kimsingi Bashe na wakwasi wake wamefanikiwa kuigeuza UVCCM kuwa mdomo na chombo cha Lowassa na kwa njia hii Bashe amefanikiwa alichokuwa anakitafuta kwa muda mrefu, tena bila jasho. Hili limewezekana baada ya kubaini udhaifu na njaa ya Shigela na Malisa.
'masaburi' yakoEL ndo pekee anaweza kurekebisha makosa ya rafiki yake kwa miaka kumi. Wengine wote ni watu wa visasi tu. Tumpe nchi muone mambo. Kifupi hatutaki tena rais maskini maana nae hatatulia mpaka ajenge kwao.