palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,455
Mjumbe wa Barala la Utekelezaji la UVCCM, Hussein Bashe amekiri waziwazi kuwa CCM isipokuwa makini uchaguzi wa mwaka 2015 ukimalizika, utakiacha kikiwa chama cha upinzani na si chama tawala. Sekretarieti ya CCM itakabidhi chama kikiwa cha upinzani Watanzania wana matatizo mengi , lakini viongozi badala ya kuangalia hayo wanaendekeza siasa za chuki na kinafiki. Alichokifanya Rostam ni haki yake, lakini pamoja na hayo hawatendei haki wananchi wa Igunga, ila kwa kuwa ni maamuzi yake hakuna jinsi alisema Bashe. Wakati huohuo hali ya kisiasa Igunga ni tete wakati wanaCMM wanajiandaa kurudisha kadi zao na kujiunga na upinzani.