Bashe afyatuka na uvccm

nzom

Senior Member
Nov 6, 2010
180
31
katika kuhakikisha ku kuna kila sababu ya kutaka mabadiliko tayari yule walie dai si raia wa TANZANIA HUSSEIN bashe amemtak katibu wake mkuu kuitisha kikako cha kamati kuu ili kujadili mwenendo wa chama hicho lakini anakili kua amejaribu kila njia kuomba kikao lakini imeshindikana kutokana na kutojua sababu hivyo kaamua kufyatuka kama hivi

Ndg yangu Shigela Umewadia wakati wa ww kuita Baraza kuu la Uvccm Taifa tuna wajibu wa kukutana na kujadili kama Taifa tunapitia kipindi kigumu ambacho sisi kama Vijana wa Chama kinachoongoza (sipendi kutumia neno chama kinachotawala) tunatakiwa kukutana tena Haraka kuna mambo mengi yakujadili kwa Maslahi ya Taifa letu na Chama chetu.

Ninafahamu utasema Gharama ya Kuita Baraza kwa maana ya POSHO za wajumbe ita Baraza bila POSHO historia ya Nchi yetu wazee wetu walikua wanakutana bila kulipana posho tujitolee wenye uchungu na JUMUIYA,CHAMA ,na Taifa watahudhuria,leo Vijana ajira zinapotea,maisha yanazidi kua magumu,waathirika wakubwa ni Vijana multiplier effect yake ni kubwa,CDM wanatumia haya matatizo kama Mtaji wao wa kisiasa jambo ambalo mm sishangai kwa kuwa sisi wenyewe tumeridhika ama hatuoni haya matatizo ama ni ule utaratibu WA BUSINESS AS USAL,hatuonekani kama we are there to listen help and guide walotupa DHAMANA,kaka yangu MARTIN things are not the way we think they are.

Itisha baraza kuu tukutane we have obligations to this party and this country tumetoka katika uchaguzi october leo ni almost miezi 5 tumeshinda but si ushindi mzuri,tusidhani we are in a safe hands,tusidhani tuko kwenye mfumo wa chama kimoja,wadogo zetu katika sekondari wamefeli,kilimo mpaka sasa kimeshindwa kuwasaidia,ajira sasa viwandani zinapungua UVCCM has to do something TUNAOMBA BARAZA KUU
 
Huyu BASHE ni wakala wa ROSTAM & LOWASA. Ziko pia taarifa ambazo wale ndugu zetu huziita za kiintelejensia kuwa anatafuta namna ya umaarufu ili kuwinda U/kiti wa CCM (M) TBR. Hivyo, maneno yake hayo yanalenga kujiiipa ujiko eti naye ni thinker. Sasa kwanini asimpigie simu huyo katibu wake wa UVCCM maana nitambuavyo mimi naye pia ni mjumbe katika UVCCM yao. aliona kipi kigumu hadi kujieleza ujinga wake kwenye facebook? Huo ndio ulevi, uendapoli & uendawazimu.
 
Huyu BASHE ni wakala wa ROSTAM & LOWASA. Ziko pia taarifa ambazo wale ndugu zetu huziita za kiintelejensia kuwa anatafuta namna ya umaarufu ili kuwinda U/kiti wa CCM (M) TBR. Hivyo, maneno yake hayo yanalenga kujiiipa ujiko eti naye ni thinker. Sasa kwanini asimpigie simu huyo katibu wake wa UVCCM maana nitambuavyo mimi naye pia ni mjumbe katika UVCCM yao. aliona kipi kigumu hadi kujieleza ujinga wake kwenye facebook? Huo ndio ulevi, uendapoli & uendawazimu.
:) aisee maswala ya chama kwenye FB, sijawai ona! Viongozi wenyewe ndio hao kina ma-rope wanaijua hio FB? Haf ndio unaacha open kwa kila mtu ili iweje?

Utoto huu,huyu kijana kweli ni bogas...
 
Karibu sana Jamvini

Mimi nimesoma alichoandika na kupitia FB katibu mkuu wa UVCCM amejibu kwamba ombi limepokelewa na Baraza kuu litaitwa kabla ya mwisho wa mwezi MARCH.

Taarifa hizo za kiintelejensia nyingi zimekua si za kweli naamini na hii ni kama ile ya ARUSHA,kuhusu kuweka mambo ya chama open kama mlivodai mbona mengi yako open hutazami hata hapa JF sisi wan CDM tunayajadili sijaona tatizo.Inawezekana ujinga wake huo umefanya baraza kuu liitwe kama katibu mkuu wao alivojibu kupitia FB na kulipokea ombi na kuahidi uwepo wa kikao alichoomba,inabidi ndg yangu usikurupuke matumizi ya social network inawezekana huyafahamu na nguvu yake pia hufahamu kamuulize MUBARK.

Hoja ya uwakala utuletee uthibitisho watu wa tabora ambao ni wapiga kura asilimia 90 hawasomi FB wala JF wala magazeti,nimepitia alichosema bashe kama hilo ni andiko lake sijaona ujinga unao dai ukiingia sehemu sema HODII usihubiri ujinga wa mwenzio kwa kuonyesha upumbavu wako ndg.

Ingiwa kimisimamo natofautiana na BASHE kiitikadi pia bali hoja alizosema ni za msingi kwa chama chao na jumuiya yao tujadil hoja inawezekana wewe ukawa wakala wa hao ulowataja,



Huyu BASHE ni wakala wa ROSTAM & LOWASA. Ziko pia taarifa ambazo wale ndugu zetu huziita za kiintelejensia kuwa anatafuta namna ya umaarufu ili kuwinda U/kiti wa CCM (M) TBR. Hivyo, maneno yake hayo yanalenga kujiiipa ujiko eti naye ni thinker. Sasa kwanini asimpigie simu huyo katibu wake wa UVCCM maana nitambuavyo mimi naye pia ni mjumbe katika UVCCM yao. aliona kipi kigumu hadi kujieleza ujinga wake kwenye facebook? Huo ndio ulevi, uendapoli & uendawazimu.
 
mbona hawajatutangazia tena kama alirudishiwa kadi na nyadhifa zote ndani ya Chama Twawala kama walivyofanya wakati wanamnyanganya!!
 
Back
Top Bottom