BASATA yatangaza kumfungia Ney wa Mitego kujihusisha na sanaa kwa muda usiojulikana

Punde tu nimesikia EFM kuwa atakuwa kwenye show chuo cha ustawi jamii akiwa na lundo la wasanii wadogo na Kiba.

Kama kafungiwa inamaana EFM hawajui hilo mpaka watangaze ushiriki wake katika hiyo show?
 
Mimi ninachojiuliza ni hivi mtu yeyote huko duniani akitunga wimbo wenye 'maudhui' yaliyo tofauti na Tanzania hairuhusiwi kuusikiliza hapa!? Tuchukulie uko katika lugha tofauti na kama tunavyojua wanamuziki ni wengi duniani na kila mmoja anatoa wimbo wake. Sasa Ney wa Mitego sijui akienda akarekodi wimbo tuseme Amerika, Ulaya, Asia nk wakaupenda alafu TZ na basata yetu tukaupinga, hao basata wataenda huko duniani kuwaambia wamiliki wa tv, maredio na mitandao kuwa "huo wimbo mnaupenda lakini sisi TZ tumeupiga marufuku na nyie hamruhusiwi kuusikiliza"!
Mbali na hapo ni kuendelea kushikilia mitizamo finyu ya kuamini kuwa ukimhoji shoga unapelekea ushoga kushamiri wakati ulikuwepo kabla hata redio hazijakuwepo.

Iv ipi inaumizwa kutukananmwa matusi ya kingereza au kiswahili
 
Punde tu nimesikia EFM kuwa atakuwa kwenye show chuo cha ustawi jamii akiwa na lundo la wasanii wadogo na Kiba.

Kama kafungiwa inamaana EFM hawajui hilo mpaka watangaze ushiriki wake katika hiyo show?
hv maana ya mda usiojulikanika watu wanazani ndo maisha inaweza kuw ata wiki ney amezungumza na planetbongo kuwa ameambiw alekebishe sehemu chache kwenye nyimbo yake
 
Nyie nanyi mnaongea kama hamna akili ww unaambiwa amefungiwa halaf unasema abadili jina tena kvipi et arekod amerika kwan yy ni raia wa wap kama sio tzania ww kama mtanzania uongozwa na katiba na maadili ya nchi yako abadili uraia
 
Hawana uwezo wa kumzuiya Ney asifanye anachotaka kufanya, labda tu kama Nay atakuwa ni goigoi wa sheria.

Hao Basata walimfungia Shilole CCM wakamtumia kwenye majukwaa ya kampeni
kama kawa hawakubinuwa mdomo wao.

Nay aendelee na kazi zake kama kawaida zile
ambazo hazina maadili ndio zizuiwe kwenye
redio na tv ila huku online Basata hawana
mamlaka hata chembe.


Hii ndio shida ya taasisi za kale kuongozwa na
watu waliopitwa na muda


Hivi ni nani asiyependa pale kati? Kuna shida

gani kupasifia pale kati? Hawa Basata wana

akili timamu kweli?


View attachment 371911

View attachment 371913
View attachment 371914

Duh Hao mabint wamechambia amila nini
 
Nyimbo nyingi za wasanii zinamatusi yaliyojificha. Wimbo wa Koffi Olomide ekotite nao ni ishara ya matusi kwamba haijaingia/haijazama kwa hiyo twanga foto mzigo ukiwa nje.

Kwao hawaupendi lakini huku bongo watu meno nje. Tukiamua kupitia mashairi ya nyimbo basi tutafungia nyimbo nyingi.

Kuhusu Ney wa Mitego, hapo kati patamu sijajua ni kati ipi lakini kama watu wametafisi ni kati ya kichwa na nyayo basi ni tatizo.

Yupo Man Fongo anasema hainaga ushemeji tunakulaga. Huu wimbo unahamasisha kukosa uaminifu kwa mke wa kaka yako au jamaa yako. Nao haufai.
hahahha umenifurahisha
 
!
!
Tatizo hapo ni siasa......Ney wa Mitego alizunguka nchi nzima kumnadi Lowassa naona sasa ndio anapata konsekwensezi. Kwani nyimbo ngapi ziko ovyo tu hazifungiwi.
Hakuna kinachokera kama hii tabis a kuingiza siasa kwa vitu visivyohudiana ila basi tu
Kama mtu huna cha kuchangis ubaweza pita tu kama wengine tunavyopita

Naamini ipo siku mkeo skikunyima chakula kwa upuuuzi wako
Utasema tatizo ccm kwani uliwaunga mkono sana ukawa

Kwa nini msiache ukawa ikawa safi na viongozi wakachukua muda wa kuijenga kuliko kuihusisha na vitu visivyo vya msingi
 
Hawana uwezo wa kumzuiya Ney asifanye anachotaka kufanya, labda tu kama Nay atakuwa ni goigoi wa sheria.

Hao Basata walimfungia Shilole CCM wakamtumia kwenye majukwaa ya kampeni kama kawa hawakubinuwa mdomo wao.

Nay aendelee na kazi zake kama kawaida zile ambazo hazina maadili ndio zizuiwe kwenye redio na tv ila huku online Basata hawana mamlaka hata chembe.

Hii ndio shida ya taasisi za kale kuongozwa na watu waliopitwa na muda

Hivi ni nani asiyependa pale kati? Kuna shida gani kupasifia pale kati? Hawa Basata wana akili timamu kweli?

View attachment 371911
View attachment 371913
View attachment 371914

Wewe pia unastahili kufungiwa kwa muda usiojulikana.
 
Iv ipi inaumizwa kutukananmwa matusi ya kingereza au kiswahili
Ndio maana nikauliza kwa vile kuna nyimbo chungu mzima zinatrend kwenye mitandao na hakuna anayeziblock hadi kwenye radio na tvs lakini akitoa mbongo wanamfungia na kublock! Ni wazi wafanya maamuzi wengi hawajatoka nje ya box walimojifungia na kujua kuwa kuna mamilioni ya mabox mengine nje na la kwao!
 
Sijausikiliza huo wimbo lakini Basata ni lazima waelewe lugha ya Kiswahili haiwezi kukua bila ya kuwa na tungo fikirishi.Vinginevyo watuambie mtu akisema Tunda la MTI wa KATIKATI naye atakuwa anatukana maana Bible haijatafsiri lakini sisi binadamu ndio tunaotafsiri
 
Ndio maana nikauliza kwa vile kuna nyimbo chungu mzima zinatrend kwenye mitandao na hakuna anayeziblock hadi kwenye radio na tvs lakini akitoa mbongo wanamfungia na kublock! Ni wazi wafanya maamuzi wengi hawajatoka nje ya box walimojifungia na kujua kuwa kuna mamilioni ya mabox mengine nje na la kwao!

Ila n kweli unachozungumza Kama nje kuna video nyng chafu tu ila nafkr basata nd linasimamia shughuli zote z kisanaa na msanii mwnywe kwhyo n kma vle wasanii wetu wanakua wameingia kamkataba na basata hvy miongon mwa vigezo na mashart inabid kuzingatiwa..kwhy itakua inasimamia wasanii w ndan tu na sio wa nje
 
Back
Top Bottom