better parker
Senior Member
- Jul 26, 2016
- 166
- 103
Mhh ila sijui jamaa ni UKUTA nn mana alikuwa opposition side
Mimi ninachojiuliza ni hivi mtu yeyote huko duniani akitunga wimbo wenye 'maudhui' yaliyo tofauti na Tanzania hairuhusiwi kuusikiliza hapa!? Tuchukulie uko katika lugha tofauti na kama tunavyojua wanamuziki ni wengi duniani na kila mmoja anatoa wimbo wake. Sasa Ney wa Mitego sijui akienda akarekodi wimbo tuseme Amerika, Ulaya, Asia nk wakaupenda alafu TZ na basata yetu tukaupinga, hao basata wataenda huko duniani kuwaambia wamiliki wa tv, maredio na mitandao kuwa "huo wimbo mnaupenda lakini sisi TZ tumeupiga marufuku na nyie hamruhusiwi kuusikiliza"!
Mbali na hapo ni kuendelea kushikilia mitizamo finyu ya kuamini kuwa ukimhoji shoga unapelekea ushoga kushamiri wakati ulikuwepo kabla hata redio hazijakuwepo.
hv maana ya mda usiojulikanika watu wanazani ndo maisha inaweza kuw ata wiki ney amezungumza na planetbongo kuwa ameambiw alekebishe sehemu chache kwenye nyimbo yakePunde tu nimesikia EFM kuwa atakuwa kwenye show chuo cha ustawi jamii akiwa na lundo la wasanii wadogo na Kiba.
Kama kafungiwa inamaana EFM hawajui hilo mpaka watangaze ushiriki wake katika hiyo show?
Hawana uwezo wa kumzuiya Ney asifanye anachotaka kufanya, labda tu kama Nay atakuwa ni goigoi wa sheria.
Hao Basata walimfungia Shilole CCM wakamtumia kwenye majukwaa ya kampeni
kama kawa hawakubinuwa mdomo wao.
Nay aendelee na kazi zake kama kawaida zile
ambazo hazina maadili ndio zizuiwe kwenye
redio na tv ila huku online Basata hawana
mamlaka hata chembe.
Hii ndio shida ya taasisi za kale kuongozwa na
watu waliopitwa na muda
Hivi ni nani asiyependa pale kati? Kuna shida
gani kupasifia pale kati? Hawa Basata wana
akili timamu kweli?
View attachment 371911
View attachment 371913
View attachment 371914
hahahha umenifurahishaNyimbo nyingi za wasanii zinamatusi yaliyojificha. Wimbo wa Koffi Olomide ekotite nao ni ishara ya matusi kwamba haijaingia/haijazama kwa hiyo twanga foto mzigo ukiwa nje.
Kwao hawaupendi lakini huku bongo watu meno nje. Tukiamua kupitia mashairi ya nyimbo basi tutafungia nyimbo nyingi.
Kuhusu Ney wa Mitego, hapo kati patamu sijajua ni kati ipi lakini kama watu wametafisi ni kati ya kichwa na nyayo basi ni tatizo.
Yupo Man Fongo anasema hainaga ushemeji tunakulaga. Huu wimbo unahamasisha kukosa uaminifu kwa mke wa kaka yako au jamaa yako. Nao haufai.
Hakuna kinachokera kama hii tabis a kuingiza siasa kwa vitu visivyohudiana ila basi tu!
!
Tatizo hapo ni siasa......Ney wa Mitego alizunguka nchi nzima kumnadi Lowassa naona sasa ndio anapata konsekwensezi. Kwani nyimbo ngapi ziko ovyo tu hazifungiwi.
Hawana uwezo wa kumzuiya Ney asifanye anachotaka kufanya, labda tu kama Nay atakuwa ni goigoi wa sheria.
Hao Basata walimfungia Shilole CCM wakamtumia kwenye majukwaa ya kampeni kama kawa hawakubinuwa mdomo wao.
Nay aendelee na kazi zake kama kawaida zile ambazo hazina maadili ndio zizuiwe kwenye redio na tv ila huku online Basata hawana mamlaka hata chembe.
Hii ndio shida ya taasisi za kale kuongozwa na watu waliopitwa na muda
Hivi ni nani asiyependa pale kati? Kuna shida gani kupasifia pale kati? Hawa Basata wana akili timamu kweli?
View attachment 371911
View attachment 371913
View attachment 371914
Ndio maana nikauliza kwa vile kuna nyimbo chungu mzima zinatrend kwenye mitandao na hakuna anayeziblock hadi kwenye radio na tvs lakini akitoa mbongo wanamfungia na kublock! Ni wazi wafanya maamuzi wengi hawajatoka nje ya box walimojifungia na kujua kuwa kuna mamilioni ya mabox mengine nje na la kwao!Iv ipi inaumizwa kutukananmwa matusi ya kingereza au kiswahili
Ndio maana nikauliza kwa vile kuna nyimbo chungu mzima zinatrend kwenye mitandao na hakuna anayeziblock hadi kwenye radio na tvs lakini akitoa mbongo wanamfungia na kublock! Ni wazi wafanya maamuzi wengi hawajatoka nje ya box walimojifungia na kujua kuwa kuna mamilioni ya mabox mengine nje na la kwao!