Mizizi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,275
- 391
Kuna uwezekano mkubwa sana Balaza la sanaa Tanzania kuingia katika Mgogoro mkubwa na kuliingiza Taifa katika hasara Kubwa.
Si hivyo tu, pia Image ya Tanzania inaweza kuingia doa kwa Uzembe ama kutokuwa makini kwa watu wachache ambao waliopewa mamlaka.
hii ni kutoka na sakata la Mafia Dance Festival. hili ni tamasha ambalo lilitarajiwa kufanyika Kule kisiwani Mafia kuanzia tarehe 1 hadi tarehe 15 Augost mwaka huu. Tamasha hilo lilitarajiwa kuhusisha wageni zaidi ya 3000 kutoka barani Ulaya, vikiwemo vikundi mbali mbali kutoka tanzania na nje ya nchi. kidogo unaweza kufananisha na Jahazi Festivals kule zanzibar.
Basata walitoa kibali kwa waandaaji, waandaaji wakafanya maandalizi yote, yakiwemo yale ya kuuza ticketi na kuingia mikataba na mashirika mbali mbali ya kutoa huduma za usafiri na mengineyo.
Baadhi ya waliotarajia kufika kuhudhuria tamasha hilo wengi lishafanya malipo ya ticket za ndege kutoka ulaya na kufanya booking za hoteli Tanzania na kule Mafia.
Mwisho wa siku, kutokana na presha kutoka kwa wamiliki wa hoteli wachache kule Mafia, waliona tamasha hili halina manufaa kwao, na linaweza kuthreat biashara zao, wakaamua kupitisha mlungula kwa viongozi wa wilaya, zaidi mkuu wa wilaya ya mafia, na hivyo akashawishi tamasha lisifanyike Mafia. cha kushangaza, basata, waka revoke kibali walichokitoa kwa waandaaji hawa,
sasa waandaaji, wanampango kabambe wa kuifikisha Basata katika vyombo vya kisheria vya kimataifa, na kudai fidia kutokana na hasara zilizotokana na maamuzi yao
Zaidi tembelea MafiaDanceFestival
Si hivyo tu, pia Image ya Tanzania inaweza kuingia doa kwa Uzembe ama kutokuwa makini kwa watu wachache ambao waliopewa mamlaka.
hii ni kutoka na sakata la Mafia Dance Festival. hili ni tamasha ambalo lilitarajiwa kufanyika Kule kisiwani Mafia kuanzia tarehe 1 hadi tarehe 15 Augost mwaka huu. Tamasha hilo lilitarajiwa kuhusisha wageni zaidi ya 3000 kutoka barani Ulaya, vikiwemo vikundi mbali mbali kutoka tanzania na nje ya nchi. kidogo unaweza kufananisha na Jahazi Festivals kule zanzibar.
Basata walitoa kibali kwa waandaaji, waandaaji wakafanya maandalizi yote, yakiwemo yale ya kuuza ticketi na kuingia mikataba na mashirika mbali mbali ya kutoa huduma za usafiri na mengineyo.
Baadhi ya waliotarajia kufika kuhudhuria tamasha hilo wengi lishafanya malipo ya ticket za ndege kutoka ulaya na kufanya booking za hoteli Tanzania na kule Mafia.
Mwisho wa siku, kutokana na presha kutoka kwa wamiliki wa hoteli wachache kule Mafia, waliona tamasha hili halina manufaa kwao, na linaweza kuthreat biashara zao, wakaamua kupitisha mlungula kwa viongozi wa wilaya, zaidi mkuu wa wilaya ya mafia, na hivyo akashawishi tamasha lisifanyike Mafia. cha kushangaza, basata, waka revoke kibali walichokitoa kwa waandaaji hawa,
sasa waandaaji, wanampango kabambe wa kuifikisha Basata katika vyombo vya kisheria vya kimataifa, na kudai fidia kutokana na hasara zilizotokana na maamuzi yao
Zaidi tembelea MafiaDanceFestival