Napenda kuchukua nafasi hii adhimu sana kuwafahamisha kuwa Dr Hamza ( Barubaru) anatarajiwa kufika Dar es salaam leo jioni akiongozana na mkewe na mtoto wao ,kwa mujibu wa simu aliyonipigia akiwa anatoka Dubai.
Napenda kumkaribisha nchini kwetu kwa masiku atakayojaaliwa kukaa.
Kwa mijibu wa mwenyewe Dr Hamza angependa kuonana na members wengi itakavyokuwa hapa Dar, Zanzibar, Morogoro na Mwanza.
Kwa idhini yake akifika tu na akiniruhusu nitaweka namba yake atakayokuwa anaitumia hapa nchini.
Karibu sana Dr Hamza,
Napenda kumkaribisha nchini kwetu kwa masiku atakayojaaliwa kukaa.
Kwa mijibu wa mwenyewe Dr Hamza angependa kuonana na members wengi itakavyokuwa hapa Dar, Zanzibar, Morogoro na Mwanza.
Kwa idhini yake akifika tu na akiniruhusu nitaweka namba yake atakayokuwa anaitumia hapa nchini.
Karibu sana Dr Hamza,