Mess
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 661
- 181
Jimboni kwako unampigia kura peke yako?
Kweli kamanda Zitto UNATISHA!... Kwanza uliweka kama mapendekezo ya budget ya upinzani, halafu ile wenzio wanasuasua we umefanya kweli,...
Ungekuja kugombea ubunge jimboni kwangu, kura yangu ungeiweka mkononi kwa mwendo huu!