Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Source: Tanzania Daima, hahahaaa.... the established Lowasa and Rostam spin doctors.... mtaspin sana, ila mabwana zenu lazima watoswe mwaka huu. Kibanda roho inamuuma kitumbua chake kina Nape wanataka kukitia mchanga, alijua between now and 2015 kazi ya kuwaremba Lowasa na Rostam kwenye Tanzania Daima angejenga hekalu la maana, angevuna mamia ya mamilioni kwa malipo yake na kitengo cha Salva ikulu kilikua chake mambo yakikubali...no wonder toka mambo yabadilike CCM, amekua analialia tu...na wapambe wao wengine...njoo na stori ingine basi, ehe Tanzania nayo itameguka Lowasa akikosa cheo, au vitazuka vita vya civil war tusipompa urais?... Wenzako kina Guninita washaanua matanga baada ya kusoma upepo. Habari ndiyo hiyo....
sio unaongea kama umejinyea na wewe...sasa unaongea ovyo ovyo maana mainzi yanakujalia