Barua za Dada..Nafikiri kumtimua

Kwa mara ya kwanza kuona bonge la ushauri thread nzima..no uchakachuzi!..lol
Mleta mada nadhani ukifuata haya uloelezwa hapa utamsaidia sana huyu beki3 wako..
 
hg nae ni binadamu ana hisia, ulipaswa umuongoze kama mwanao kumrudisha kwao hakutamsaidia yeye na futurw yake.....

Mwanao akiandikia barua boyfriends utamfukuza au utamkanya, kumwonya na kumuongoza njia ifaayo?
 
hg nae ni binadamu ana hisia, ulipaswa umuongoze kama mwanao kumrudisha kwao hakutamsaidia yeye na futurw yake.....

Mwanao akiandikia barua boyfriends utamfukuza au utamkanya, kumwonya na kumuongoza njia ifaayo?

km ameonywa hajackia afanyeje? Mfukuze 2 akipata mimba itakuaje? Mwanao unaweza mpiga hg je, ukimpiga atasema unamnyanyasa na kwao wakickia ndo kabisa!
 
Kama keshaonywa unamuacha tu. Lakini kubaliana nae akibeba mimba either anaenda kupeleka mzigo kwao kijijini, or else anahamia kwa huyo bwana. So ajue kabisa ukisuka sangita shurti unyinyoke wakati wa kufumua
 
View attachment 32181View attachment 32182View attachment 32183View attachment 32184View attachment 32185View attachment 32186View attachment 32187View attachment 32188

Haya mambo ya Dada (House Girl) kutoka kusini mwa nchi yetu. Alianza ajira shwari kabisa, baada ya muda mwenendo wake ukabadilika, pengine akienda sokoni kurejea lazima achelewe. Siku chache zilizopita, mamsapu alijaribu kuchukua simu anayoitumia kwa mawasiliano hapa nyumbani tulimnunulia kwa hilo tui, mara simu ikalia, baada ya kupiokea, sauti ya jamaa ikasikika ikikoroma "vipi we mtoto mbona huonekani buchani sasa mimi nimeweka nyama kibao uje ule??...njoo bwana tiufanye kama siku ile leo nitakupa na hela ya mtoko.." Mamsapu akashtuka na kuuliza, vipi ??? Jamaa likakata simu..badaa ya kumuuliiza dada akakataa..lakini baada ya muda akakiri anasumbuliwa na jamaa fulani ..akaahidi kuacha haya mambo. Tukamnyang'anya simu.

Aidha, katika harakati ya kujaribu kumsaidia..tuliendelea kumwonya tu ili azingatie kile ambacho kimemleta mjini asije ishia kwenye matatizo ikiwemo maradhi...lakini inaonerkana kabinti kamezoea..leo naletewa kesi hii,...eti dada anatumia daftari, karamu na rangi za watoto kuandikia barua wanaume...khaaa.

Nafikiri kutimua mtu this evening!! Naona hakuna kitu hapa!!

Ukiwa kama mwajiri umefanya makosa makubwa sana tena ya kisheria kuanika barua zake za private hapa jamvini. Kama mwajiri unalo jukumu ka kisheria ku-maintain confidentiality ya mwajiriwa wako unless huitaji kufanya hivyo kwa mujibu wa sheria. Sioni sheria yoyote inayokuruhusu ku-breach confidentiality hapa. Hata kama amefanya makosa huna haki kisheria ku-publish barua zake za siri kihivi. Sio fair kabisa.

Pia hukuwa na haki ya kumyang'anya simu yake. Huu ni unyanyasaji mkubwa wa ma-housegirls ambao huwa unafanywa na waajiri wengi.

Na kama ukimtimua na akapata mwanasheria mzuri lazima itakula kwako. Yaani unamfukuza mwajiriwa wako kisa ana uhusiano wa kimapenzi na mtu ambaye wala huna uhusiano nae? Imagine ofisi kwako umefukuzwa kazi eti kwa kuwa na uhusiano na mama muuza chapati hapo nje. Kwa kwenye terms za ajiri mlikubaliana kuwa kuwa asiwe kwenye mahusiano ya kimapenzi? Kama hayo mahusiano yana-affect ufanyanyi kazi wake labda unaweza kuchukua hatua lakini sio kwa kuanika barua zake za siri.

Hivi hakuna taasisi zinazolinda haki za wafanyakazi wa ndani? Huu ni unyanyasaji mkubwa. It could also be regarded as sex discrimination. Ushauri wangu, ondoa hizo barua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom