hg nae ni binadamu ana hisia, ulipaswa umuongoze kama mwanao kumrudisha kwao hakutamsaidia yeye na futurw yake.....
Mwanao akiandikia barua boyfriends utamfukuza au utamkanya, kumwonya na kumuongoza njia ifaayo?
View attachment 32181View attachment 32182View attachment 32183View attachment 32184View attachment 32185View attachment 32186View attachment 32187View attachment 32188
Haya mambo ya Dada (House Girl) kutoka kusini mwa nchi yetu. Alianza ajira shwari kabisa, baada ya muda mwenendo wake ukabadilika, pengine akienda sokoni kurejea lazima achelewe. Siku chache zilizopita, mamsapu alijaribu kuchukua simu anayoitumia kwa mawasiliano hapa nyumbani tulimnunulia kwa hilo tui, mara simu ikalia, baada ya kupiokea, sauti ya jamaa ikasikika ikikoroma "vipi we mtoto mbona huonekani buchani sasa mimi nimeweka nyama kibao uje ule??...njoo bwana tiufanye kama siku ile leo nitakupa na hela ya mtoko.." Mamsapu akashtuka na kuuliza, vipi ??? Jamaa likakata simu..badaa ya kumuuliiza dada akakataa..lakini baada ya muda akakiri anasumbuliwa na jamaa fulani ..akaahidi kuacha haya mambo. Tukamnyang'anya simu.
Aidha, katika harakati ya kujaribu kumsaidia..tuliendelea kumwonya tu ili azingatie kile ambacho kimemleta mjini asije ishia kwenye matatizo ikiwemo maradhi...lakini inaonerkana kabinti kamezoea..leo naletewa kesi hii,...eti dada anatumia daftari, karamu na rangi za watoto kuandikia barua wanaume...khaaa.
Nafikiri kutimua mtu this evening!! Naona hakuna kitu hapa!!