Ready made muhimu hata akikumwaga umekula good time sio mnasota na dhiki mwanzo mwisho akizipata anakutimua kama hakujui.[FONT="Comic
Sans MS"]Mkuu, "ready made" husband ndo iko kwenye chat, wewe
tena unawaambia wasitafute hizo?[/FONT]
Thanks muhimu kuongezea mawazo yako and what you think
Thanks alot for the advice! though language inasumbua kidogo. But the problem is to know the honest and true one is very difficulty, pls help me how would I know?
ahsante kwa ushauri.tunayajua hayo,ila tunaendelea kudanganyika
Its difficult but possible, hivi dada yangu ukiamua mwezi mzima kumfatilia mtu habari zake utashindwa, unajipendekaza kwa classmates wake bila yeye kukutambulisha, workmates, au neighbours na unapata over view, then kamata mwenzako unaejua hapa furaha ipo hata kama kimaisha hajasimama kivile as siku zinasogea mambo yatanyooka muhimu awe mchapakazi
That letter is true and absolutely true. Majority ya wanaume ni baba moja mama moja. Wengi ni waongo na wanapenda kuplay with women bodies and emotions kama watoto wanavyopenda matoy. Lakini kila mwanaume ukimuuliza atajidai yeye mpole tena anachukia maplayer wakati in a low low na yeye ni major player na kama sio player wait till he gets money you will see hsi true colors.
we MKATA KIU!barua yako inawapa wadada maujanja UTAKATA WAPI KIU SASA wote wakiwa wajanja?