BARUA ya wazi kwa wabunge wa UPINZANI!

Ubungoubungo

JF-Expert Member
Jul 28, 2008
2,502
739
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kutupatia wabunge wa kutosha wa upinzani bungeni katika term hii. watu wenye uwezo mzuri na uaminifu kama Dr slaa ni wengi mno mwaka huu hata kama slaa mwenyewe hatakuwepo bungeni. watu kama kina mbowe, mnyika, zito, hata mrema tu na wana cuf wengi, ni tunu kwa maendeleo ya tz na accountability ya selikali yetu tz.

bado imani yangu ni kwamba, Mbunge mmoja wa Chadema au cuf, ni sawa na wabunge zaidi ya hamsini wa CCM, na hoja, kujiamini, kusacrifice maisha yake kwaajili ya taifa lake, kupambana na mafisadi etc wanao uwezo mkubwa sana zaidi ya mara hamsini ukilinganisha na wabunge wa ccm ambao wengi wao ni wanafiki kabisa. Mungu atawahukumu!

Ninachowaomba wabunge wa CHADEMA,CUF NCCR etc, Tafadhali, tafadhali, jipangeni vilivyo, jueni kwamba nyie ndo wenye upeo mkubwa na ndio mnaotazamwa na watz wengi kama ndo wasemaji mtakaoibana network ya ccm na kusababisha maendeleo ya nchi yetu. hilo halina ubishi. KAMA TULIVYOWAAMINI, TUNAOMBA MTUTENDEE HAKI KWA KUWA WAMOJA, KWA KUFANYA KAZI KWA UAMINIFU NA KUJITOA MHANGA KAMA ALIVYOKUWA AMEFANYA SLAA, mkijua ya kuwa CCM wako tayari hata wasifanya maendeleo ya nchi badala yake watumie muda wote huo kuunyong'onyeza upinzani ili wananchi waamini kuwa, kuchagua wapinzani hakuleti maendeleo.

Tunaomba mprove yourselves kwamba chama cha upinzani kikipita katika jimbo etc au mbunge wa upinzani akipita, maendeleo yanakuja na network ya ccm inabanwa vilivyo. Macho ya watz yako kwenu, na hii itadhihirishwa 2015 pale wananchi watakapoanza kufanya auditing ya mlichofanya bungeni. nyie ndo mliopewa rungu la kuifanya ccm ianguke au ije iendelee kukaa madarakani 2015, na, ccm wamesema watajipanga ili waendelee kukaa madarakani, jueni wana mbinu nyingi na TUNAOMBA MSILALE.


TAFADHALI, MSITUANGUSHE, TAFADHALI, MSITUANGUSHE, TAFADHALI MSITUANGUSHEEEEEEEEEEEEE! TUNAWAAMINI, TUMEWAKOPESHA KURA, TUNAWADAI MAENDELEO. ASENTE.
 
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kutupatia wabunge wa kutosha wa upinzani bungeni katika term hii. watu wenye uwezo mzuri na uaminifu kama Dr slaa ni wengi mno mwaka huu hata kama slaa mwenyewe hatakuwepo bungeni. watu kama kina mbowe, mnyika, zito, hata mrema tu na wana cuf wengi, ni tunu kwa maendeleo ya tz na accountability ya selikali yetu tz.

bado imani yangu ni kwamba, Mbunge mmoja wa Chadema au cuf, ni sawa na wabunge zaidi ya hamsini wa CCM, na hoja, kujiamini, kusacrifice maisha yake kwaajili ya taifa lake, kupambana na mafisadi etc wanao uwezo mkubwa sana zaidi ya mara hamsini ukilinganisha na wabunge wa ccm ambao wengi wao ni wanafiki kabisa. Mungu atawahukumu!

Ninachowaomba wabunge wa CHADEMA,CUF NCCR etc, Tafadhali, tafadhali, jipangeni vilivyo, jueni kwamba nyie ndo wenye upeo mkubwa na ndio mnaotazamwa na watz wengi kama ndo wasemaji mtakaoibana network ya ccm na kusababisha maendeleo ya nchi yetu. hilo halina ubishi. KAMA TULIVYOWAAMINI, TUNAOMBA MTUTENDEE HAKI KWA KUWA WAMOJA, KWA KUFANYA KAZI KWA UAMINIFU NA KUJITOA MHANGA KAMA ALIVYOKUWA AMEFANYA SLAA, mkijua ya kuwa CCM wako tayari hata wasifanya maendeleo ya nchi badala yake watumie muda wote huo kuunyong'onyeza upinzani ili wananchi waamini kuwa, kuchagua wapinzani hakuleti maendeleo.

Tunaomba mprove yourselves kwamba chama cha upinzani kikipita katika jimbo etc au mbunge wa upinzani akipita, maendeleo yanakuja na network ya ccm inabanwa vilivyo. Macho ya watz yako kwenu, na hii itadhihirishwa 2015 pale wananchi watakapoanza kufanya auditing ya mlichofanya bungeni. nyie ndo mliopewa rungu la kuifanya ccm ianguke au ije iendelee kukaa madarakani 2015, na, ccm wamesema watajipanga ili waendelee kukaa madarakani, jueni wana mbinu nyingi na TUNAOMBA MSILALE.


TAFADHALI, MSITUANGUSHE, TAFADHALI, MSITUANGUSHE, TAFADHALI MSITUANGUSHEEEEEEEEEEEEE! TUNAWAAMINI, TUMEWAKOPESHA KURA, TUNAWADAI MAENDELEO. ASENTE.

Thank you very much. Very well said, tuwaombee mungu pia wabunge wetu wa upinzani kwa kuwa ccm wako tayari hata kutumia kiasi chochote cha fedha kuugawa upinzani, na cha kuogopa zaidi kama watawachukua wabunge wa CUF kama muendelezo wa muafaka wa zenj si ulimwona Lipumba siku ya matokeo? Let us expect a lot of unexpected from upinzani hii ndiyo Tanzania bana.
 
si unaona hata huu wa uspeaker to walivyokuja juu, wanataka speaker ambaye atakuwa anasympathise na mafisadi, ili wale hii nchi vizuri.
 
Nakuunga mkono na wasikubali kununuliwa na MAFISADi, wajue chama cha mafisadi kipo tayali kutumia gharama yeyote kurejesha majimbo yao! MSIKUBALI!!! mmenisikia::
silinde
Mr 2
Mdee
Mnyika
Vijana nyie tunawategemea kuwakilisha zaidi na zaidi!
 
kutokuwepo kwa dr.slaa bungeni, nafikiri bwana mbowe ataziba ufa huo. bila jazba,tujenge hoja tuwaaibishe mafisadi. mjipange vizuri, ushindi ni wetu.
 
Atakaye kuwa kiongozi wa upinzani Bungeni aendelee kuwa na mawasiliano na Slaa kwa karibu ili kile chanzo chetu cha habari za mafisadi na wanafanya nini kiendelee kutumiwa vizuri ili kunusuru Taifa na ushenzi wao dhidi ya rasilimali zetu. Hata kama serikali hii haiwachukulii hatua sahihi mafisadi,kuwaanika hadharani bila woga kunasaidia kuwapunguza makali kiasi fulani.
 
Ni kweli kabisa, hakuna kulala. Ule wimbo mzuri, Tuwamwage , tuwamwage, mafisadi,uendelezwe bungeni kwa stahili ya hoja zenye mantiki. hakuna jazba, mnapokezana. Na sometime Speaker atakuwa anabana, lakini tafuteni mbini ya kujipanga. Mnyika akirusha kombora, mdee unaliendeleza bila kuvunja kanuni.
 
Nimefurahi KUMWONA TUNDU LISU MLE NDANI LEO. tulikuwa tunasubiri sana nafasi kama hizi zijitokeze hapa tz. Chadema wamejipanga sana, hata kama cuf hawatawaunga mkono kwasababu wanawaonea gere, chadema kwasasa inao wapiganaji wa kutosha watakao toa hoja zitakazo wafanya wananchi wakiunge mkono chama hicho mwaka 2015. kuna kina slaa mwengi sana mle. Mbowe mmoja ni sawa na ccm hamsini. Tundu lisu mmoja ni sawa na ccm hamsini. Mungu ibariki tz
 
Ubungoubungo tunachotaka ni wabunge wa upinzani kufanya kazi kwa maslahi ya watu wao na si kuungani ili mtu fulani afanye kazi na we 2015 useme tulikuwa wote kama ambavyo juzi kwenye kampeni kuna watu wanasema walikuw wapinga ufisadi wakati si kweli.

Muungano si lazima kama mtu uko chama fulani na unaona uko mwenyewe na anza kufanya kazi si kulalamika tu.

peoples power
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom