Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
1.Ununuaji wa Mashangingi (Land Cruiser VX) Ni Usitishe haufai kwa Nchi yenye Wananchi Masikini
2.USIendelea kuwakumbatia Wafanyakazi wa Shirika la Ndege walioliua
3.Vyandarua vya George. W. Bush Virejeshe na mwambie atusaidie Kuua na Kuondoa Mazalia ya Mbu ...
4.Boresha Mazingira ya Hospitalini na Madaktari wanomba na kutetea Hali Mbaya Kutishia kuwafukuza Hapana Nenda Kajionee Mwenyewe wachana na Miguberi Inayokuadithia Yatizame vizuri yanavyokuwekea Gepu na Wananchi...
5.Kilimo Kwanza bila Kuwapa Wakulima Mikopo Nafuu... Matrekta Yanaozeana Suma... Wawezeshe Utawadai watu wapo tayari kupiga kazi...
6.Kuacha Mitaa ya kwenye Majiji ikiwa Michafu vumbi na Mashimo ya kila Size...Je uliowateua Wanakusaidia? au
7.Foleni jijini Dar Matrafiki wamegeuka kuwa Ma Vehicle Ispector Wanakagua Magari na Kudai Rushwa badala ya Kuongoza Magari Hawa ndio Chanzo cha Foleni Dar... Wanaongoza Magari Ukiwa unapita Tu na ukishapita Wanabana Pembeni kukamata magari na Kuomba Rushwa hata kwa makosa yale ya Kuonya...
8.Kumbuka na Ahadi zako kidogo kidogo...
9.Chukua mzauri ya Wapinzani nchi iende sawa.. zaidi Mwisho utakuwa si mzuri ni kuwekeana visasi visivyo na umuhimu kwa nchi iliyokuwa inasifika kwa amani zamani..
10.Penye Tatizo la kimakosa litokeapo fukuza system Nzima wengine wakiona watata akili kwa yaliyowapata wenzao...
2.USIendelea kuwakumbatia Wafanyakazi wa Shirika la Ndege walioliua
3.Vyandarua vya George. W. Bush Virejeshe na mwambie atusaidie Kuua na Kuondoa Mazalia ya Mbu ...
4.Boresha Mazingira ya Hospitalini na Madaktari wanomba na kutetea Hali Mbaya Kutishia kuwafukuza Hapana Nenda Kajionee Mwenyewe wachana na Miguberi Inayokuadithia Yatizame vizuri yanavyokuwekea Gepu na Wananchi...
5.Kilimo Kwanza bila Kuwapa Wakulima Mikopo Nafuu... Matrekta Yanaozeana Suma... Wawezeshe Utawadai watu wapo tayari kupiga kazi...
6.Kuacha Mitaa ya kwenye Majiji ikiwa Michafu vumbi na Mashimo ya kila Size...Je uliowateua Wanakusaidia? au
7.Foleni jijini Dar Matrafiki wamegeuka kuwa Ma Vehicle Ispector Wanakagua Magari na Kudai Rushwa badala ya Kuongoza Magari Hawa ndio Chanzo cha Foleni Dar... Wanaongoza Magari Ukiwa unapita Tu na ukishapita Wanabana Pembeni kukamata magari na Kuomba Rushwa hata kwa makosa yale ya Kuonya...
8.Kumbuka na Ahadi zako kidogo kidogo...
9.Chukua mzauri ya Wapinzani nchi iende sawa.. zaidi Mwisho utakuwa si mzuri ni kuwekeana visasi visivyo na umuhimu kwa nchi iliyokuwa inasifika kwa amani zamani..
10.Penye Tatizo la kimakosa litokeapo fukuza system Nzima wengine wakiona watata akili kwa yaliyowapata wenzao...