Arafat
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 2,581
- 758
Good, kazi nzuri sana; nilitaka kuchangia ila umeandika yote hasa kile kipengere cha kustaafu na kuamia CCM, na lile swali la iwapo yupo tayari kusikiliza haya maoni au ana ndoa ya kufa na kupona na CCM!
Kiufupi Kaka huyu Bwana siyo msafi kwahiyo naweza kusema kuwa jibu la hili swali
Majibu mazuri ya hoja zako yanaweza kupatikani kupitia katiba nzuri, ambayo itaweka wazi misingi na namna ya kumpata CDF; hawa wanaochaguliwa bila kujua vigezo gani vimetumika mara zote uwa ni lobbing na makubaliano yatokea awali kuwa "mskaji tuombe mungu nikishinda wewe ndio Mkuu wa majeshi" najua kuwa wanajeshi wengi sana walishangaa kusikia jina la huyu Bwana kuwa ndio CDF, wakati tayari alikwisha kuhujumu mali nyingi sana za JKT, alikuwa amehujumu kambi ya Kuruta ilikuwa imeamishwa kutoka Kunduchi kwenda Mafinga JKT na kuisababishia serikali hasara kubwa sana kwa kuamisha kambi mara mbili, kwasababu makambi yote ya JKT yenye miradi mikubwa alikwisha kuifanya mali zake Binafsi na hivyo shughuli za Jeshi na fedha za Jeshi huko zilikuwa zake. Nadhani nimjibe hawezi, hawezi kwasababu nadhani hakuwa na CV ya kuwa CDF wapo waliokuwa zaidi yake ila hawakuwa wanaurafiki na aliyeshinda urais. Hawezi kwasababu alijua atakuwa CDF hata kabla ya uteuzi wake, kwahiyo husimtwishe mzigo ambao hauwezi. Kama anaweza basi atani-prove wrong soon kwa kuonyesha kuwa anaweza.
Kiufupi Kaka huyu Bwana siyo msafi kwahiyo naweza kusema kuwa jibu la hili swali
ni ndio, hayana maana kwake.Isije kuwa haya yote niliyokuandikia hayana maana kwani tayari umeshaamua kufa na CCM na kuwa una nafasi inakusubiria huko mbele ya safari na hivyo huwezi kuwa mkali sana kwani unaweza ukakosa nafasi huko mbeleni
Majibu mazuri ya hoja zako yanaweza kupatikani kupitia katiba nzuri, ambayo itaweka wazi misingi na namna ya kumpata CDF; hawa wanaochaguliwa bila kujua vigezo gani vimetumika mara zote uwa ni lobbing na makubaliano yatokea awali kuwa "mskaji tuombe mungu nikishinda wewe ndio Mkuu wa majeshi" najua kuwa wanajeshi wengi sana walishangaa kusikia jina la huyu Bwana kuwa ndio CDF, wakati tayari alikwisha kuhujumu mali nyingi sana za JKT, alikuwa amehujumu kambi ya Kuruta ilikuwa imeamishwa kutoka Kunduchi kwenda Mafinga JKT na kuisababishia serikali hasara kubwa sana kwa kuamisha kambi mara mbili, kwasababu makambi yote ya JKT yenye miradi mikubwa alikwisha kuifanya mali zake Binafsi na hivyo shughuli za Jeshi na fedha za Jeshi huko zilikuwa zake. Nadhani nimjibe hawezi, hawezi kwasababu nadhani hakuwa na CV ya kuwa CDF wapo waliokuwa zaidi yake ila hawakuwa wanaurafiki na aliyeshinda urais. Hawezi kwasababu alijua atakuwa CDF hata kabla ya uteuzi wake, kwahiyo husimtwishe mzigo ambao hauwezi. Kama anaweza basi atani-prove wrong soon kwa kuonyesha kuwa anaweza.