deepesttthroat
New Member
- Jul 3, 2009
- 2
- 0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ndiyo hayo!
very low!and poor Sakina...LOL.A resignation letter not supposed to be that looong.She just need to resign and thats it.No explanations like that.Poor Sakina!!!
Sasa wewe unaongea vitu gani? Barua ulizozoea wewe zina urefu gani?
resignation letter= no need ya kuweka achievements zako...lol.hio sio CV unaomba kazi.Unajiuzulu basi mchezo umekwisha malalamiko mengi ya kazi gani?????
job true true!!!lol
Hayo ni maoni yako...
Mi naona alichofanya kimetulia maana ameeleza kinaga ubaga nini sababu za yeye kuachia ngazi..hilo ndo la msingi..Hatupo high school kufunzana grammar au letter writing
very low!and poor Sakina...LOL.A resignation letter not supposed to be that looong.She just need to resign and thats it.No explanations like that.Poor Sakina!!!
resignation letter= no need ya kuweka achievements zako...lol.hio sio CV unaomba kazi.Unajiuzulu basi mchezo umekwisha malalamiko mengi ya kazi gani?????
job true true!!!lol
Hard Hitter:
"Hii ni stori ya upande mmoja of course hatujapata bado upande wa pili. Ukweli wa huyu mama utakuja kujulikana tu.
Lakini habari zinazotoka newsroom ya IPP-Media zinaonyesha kuwa mzee Mengi alimshtukia mama huyu Mdosi kwamba ni pandikizi wa wale mapapa aliyowataja akina RA. Wanavyosema wenyewe kule IPP ni kwamba alivuta mzigo kabambe kutoka kwao ili awe anawatolea siri za IPP Media nk.
Kwa hivyo Sakina sasa akiajiriwa Habari Corporation haitashangaza tusubiri tu.
Kuna uongo wa dhahiri katika barua yake hiyo ya kujiuzuru na hasa katika suala la kumkumbatia balozi wa Palestina kuwa ndiyo sababu ambayo ilimwondoa pale, kwani Mengi ana mahusiano mazuri na Israel............"
Hata mimi nakumbuka hiyo coverage ya ITV na balozi wa Palestina - nadhani yule aliyeondoka, siyo huyu, kwani muda umepita kidogo.
Lakini issue ni vipi anaandika barua ya kujiuzulu ndefu hivyo na kutoa malalamiko ya upande mmoja na kuileak (au alitaka iwe leaked) humu JF? Anataka sympathy ya nani? Kama aliyakoroga kule Guardian, basi ni ayanywe tu polepole, kama wanavyofanya wengi, akiwemo huyo mama Mwakitwange aliyetajwa hapo juu -- kimya kimya tu aliondoka New habari, bila kupayuka hovyo!
Hayo ya kumkandia Mengi bila shaka amefundishwa na hao waliomtuma kwenda huko Guardian -- wale mafisadi mapapa. Nadhani itakuwa ni hivyo tu.
Zak, wewe ni muandishi mzuri na nakuheshimu kwa hoja zako... nakubaliana na wewe hata kwenye hili, ila jaribu ku-play neutral kidogo hatujui kama ni sakina aliyelikisha hiyo letter au la!! pia kuna mengi behind the closed doors.. hatujui sakina atajikisiaje kama barua yake confidential imewekwa humu bila ridhaa yake
...fun loving criminal....