Chumba cha siri
Member
- Jun 27, 2012
- 17
- 7
nimeshangazwa sana na kuiona barua ya jeshi la polisi tanzania kwenda kwa john mnyika iliyoandikwa juzi leo iko kwenye mitandao kama hujaiona hii hapa
my tak
barua hii imeandikwa na jeshi la polisi,haijamfikia mlengwa lakni tayari iko hapa nani anauza siri za nchi
View attachment 58688
PEOPLE: Barua za jeshi la Police ni lazima ziwe na nembo yao kuwa more official...hapo ni kaudhaifu kama ni kweli...nimeshangazwa sana na kuiona barua ya jeshi la polisi tanzania kwenda kwa john mnyika iliyoandikwa juzi leo iko kwenye mitandao kama hujaiona hii hapa
my tak
barua hii imeandikwa na jeshi la polisi,haijamfikia mlengwa lakni tayari iko hapa nani anauza siri za nchi
View attachment 58688
Barua ya Polisi haiwezi kuwa kavu hivyo bana!
ukavu gani unazungumzia?