Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,700
Hii imeokotwa katika dust bin la humu JF, bado nafuatilia mwandiko huu ni wa nani nitawajuza ni ya nani.....
"Dear mke wangu,bila shaka u mzima wa afya dhumuni la barua hii ni kuomba kama utakuwa na nafasi jumatano ya wiki hii unipe nafasi tena ya unyumba manake hali si hali najua una uchovu mwingi lakini ni mwezi sasa manake barua zangu mbili zilizopita hukuzitolea majibu......
Wako katika ndoa baba......
"Dear mke wangu,bila shaka u mzima wa afya dhumuni la barua hii ni kuomba kama utakuwa na nafasi jumatano ya wiki hii unipe nafasi tena ya unyumba manake hali si hali najua una uchovu mwingi lakini ni mwezi sasa manake barua zangu mbili zilizopita hukuzitolea majibu......
Wako katika ndoa baba......