Ndugu wanajamii wenzangu.
Gazeti la Rai la Tarehe 29/10/2009 katika ukurasa wake wa mbele lilichapisha sehemu ya Barua iliyoandikwa na Mh. Eduu Lowaa Hasaa aliyekuwa waziri Mkuu wa Kwanza katika serikali ya wamu ya nne akimwandikia Mh. Ibraa Msaa- baa aliyekuwa waziri wa Nishati na Madini wa kwanza pia wakati wa awamu hii ya nne na wote wakazama katika Meli kubwa iliyopigwa mawimbi makali na upepo mkubwa wa RICHMOND.Kwa ufupi Barua hiyo ilieleza yafuatayo:-
1.Maagizo ya Waziri mkuu kwa Waziri wa Nishati kwamba AJIRIDHISHE na uwezo wa Kampuni hiyo kuingia mkataba na shirika la umeme nchini Tanesco
2.AOMBE USHARI Kwa mwanasheria mkuu wa serikali ili kuepusha matatizo yanaweza kujitokeza katika mchakato mzima
3.Waziri wa Nishati ahakikishe anampatia taarifa KILA SIKU za mchato mzima wa kuingia makubaliano ya makataba na Kampuni ya Richmond
Barua hii imeasainiwa na Mh. Eduu Lowaaa Hasaaa na Nakala moja kwa RAISI na IKULU.
Maswali ninayojiuliza ni haya:
a.Je barua hii ina maana kwamba mh hakuhusika katika sakata la Richmond na hivyo kujiuzuru kwake ni Uzalendo tu kwa Taifa lake la Tanzania?
b.Je Kamati Teule ya Bunge iliyoundwa kuchunguza Mkataba huu iliwahi kupewa au kupata maelezo ya Barua hii na hivyo kuyafanyia kazi kabla utoaji wa taarifa ya Kamati?
c.Je barua hii ni ushahidi tosha kwa umma wa Tanzania kwamba Mh. E Lowaa Hasaaa ALIONEWA na Kamati Teule ya Bunge na ya Kwamba Alichukua hatua stahiki kwa nafasi yake kama Mtendaji Mkuu wa shughuli za Serikali katika Kutoa MAELEKEZO na maonyo ili kusidia Taifa liondokane na Mgao wa umeme ambao uliathiri vibaya sekta za uchumi na wakati huo huo akichukua tahadhari kusaidia Taifa liisingie hasara kutokana na mkataba huo wa Richmond?
d.Kwakuwa nakala ya Barua hii Raisi anayo,je kwanini alikubali waziri wake mkuu mteule ajiuzuru akingali anajua anaonewa na ushahidi anao?
e.Ni kwa vipi GAZETI LA RAI wameweza kupata Barua hii ya Siri na ambayo nakala yake ipo pia Ikulu na Raisi anayo,je hili si hatari kwa usalama wa Taifa?
f.Barua hii inamaanisha Mwanasheria mkuu wa zamani na Waziri "Musa shabaa" ndio wanadeba dhamana ya uzembe uliopelekea Taifa kupata Hasara kubwa kiasi hiki?
MAONI YANGU: Umeme wa uhakika ndio kiu ya wanachi,Wanasiasa acheni siasa tupeni Umeme wa Uhakika.
Gazeti la Rai la Tarehe 29/10/2009 katika ukurasa wake wa mbele lilichapisha sehemu ya Barua iliyoandikwa na Mh. Eduu Lowaa Hasaa aliyekuwa waziri Mkuu wa Kwanza katika serikali ya wamu ya nne akimwandikia Mh. Ibraa Msaa- baa aliyekuwa waziri wa Nishati na Madini wa kwanza pia wakati wa awamu hii ya nne na wote wakazama katika Meli kubwa iliyopigwa mawimbi makali na upepo mkubwa wa RICHMOND.Kwa ufupi Barua hiyo ilieleza yafuatayo:-
1.Maagizo ya Waziri mkuu kwa Waziri wa Nishati kwamba AJIRIDHISHE na uwezo wa Kampuni hiyo kuingia mkataba na shirika la umeme nchini Tanesco
2.AOMBE USHARI Kwa mwanasheria mkuu wa serikali ili kuepusha matatizo yanaweza kujitokeza katika mchakato mzima
3.Waziri wa Nishati ahakikishe anampatia taarifa KILA SIKU za mchato mzima wa kuingia makubaliano ya makataba na Kampuni ya Richmond
Barua hii imeasainiwa na Mh. Eduu Lowaaa Hasaaa na Nakala moja kwa RAISI na IKULU.
Maswali ninayojiuliza ni haya:
a.Je barua hii ina maana kwamba mh hakuhusika katika sakata la Richmond na hivyo kujiuzuru kwake ni Uzalendo tu kwa Taifa lake la Tanzania?
b.Je Kamati Teule ya Bunge iliyoundwa kuchunguza Mkataba huu iliwahi kupewa au kupata maelezo ya Barua hii na hivyo kuyafanyia kazi kabla utoaji wa taarifa ya Kamati?
c.Je barua hii ni ushahidi tosha kwa umma wa Tanzania kwamba Mh. E Lowaa Hasaaa ALIONEWA na Kamati Teule ya Bunge na ya Kwamba Alichukua hatua stahiki kwa nafasi yake kama Mtendaji Mkuu wa shughuli za Serikali katika Kutoa MAELEKEZO na maonyo ili kusidia Taifa liondokane na Mgao wa umeme ambao uliathiri vibaya sekta za uchumi na wakati huo huo akichukua tahadhari kusaidia Taifa liisingie hasara kutokana na mkataba huo wa Richmond?
d.Kwakuwa nakala ya Barua hii Raisi anayo,je kwanini alikubali waziri wake mkuu mteule ajiuzuru akingali anajua anaonewa na ushahidi anao?
e.Ni kwa vipi GAZETI LA RAI wameweza kupata Barua hii ya Siri na ambayo nakala yake ipo pia Ikulu na Raisi anayo,je hili si hatari kwa usalama wa Taifa?
f.Barua hii inamaanisha Mwanasheria mkuu wa zamani na Waziri "Musa shabaa" ndio wanadeba dhamana ya uzembe uliopelekea Taifa kupata Hasara kubwa kiasi hiki?
MAONI YANGU: Umeme wa uhakika ndio kiu ya wanachi,Wanasiasa acheni siasa tupeni Umeme wa Uhakika.