moreen baby
Senior Member
- Feb 20, 2014
- 127
- 23
habari zenu wapendwa naomba kuuliza ukiwa unatuma maombi ya kazi utumishi ni muhimu barua kuandikwa kwa mkono au unaweza ukatype kwenye komputer msaada tafadhali
oky asante mkuu na wanaotype inakuwaje unaweza ukakosa kazi eehMara nyingi naona watu wakiandika kwa mkono.
Kama una muandiko safi si vibaya ila kama mwandiko wako ni shida kwa wengine ni vizuri kutype
moreen baby halafu usisahau kuandika position uliyoomba nje ya bahasha mimi nlifanya kosa hilo sikuandika nasubiria Neema Muujiza waungu ili labda nami ntaitwa...
habari zenu wapendwa naomba kuuliza ukiwa unatuma maombi ya kazi utumishi ni muhimu barua kuandikwa kwa mkono au unaweza ukatype kwenye komputer msaada tafadhali
moreen baby halafu usisahau kuandika position uliyoomba nje ya bahasha mimi nlifanya kosa hilo sikuandika nasubiria Neema Muujiza waungu ili labda nami ntaitwa...
moreen baby halafu usisahau kuandika position uliyoomba nje ya bahasha mimi nlifanya kosa hilo sikuandika nasubiria Neema Muujiza waungu ili labda nami ntaitwa...
asante sana mkuu ntafanya ivooWatu kutoka utumishi walifika chuo na kuwaelimisha wajuu juu ya suala hili, nakuu " ofisi zote za umma kama hujapewa maelekezo juu ya kuandika hiyo barua, basi hapo moja kwa moja unatakiwa uandike kwa mkono wako" mwisho wa kunukuu!
Watu kutoka utumishi walifika chuo na kuwaelimisha wajuu juu ya suala hili, nakuu " ofisi zote za umma kama hujapewa maelekezo juu ya kuandika hiyo barua, basi hapo moja kwa moja unatakiwa uandike kwa mkono wako" mwisho wa kunukuu!
je kama una mwandiko mbaya na mchafu uandike tu hivyo hivyo?
Je na cv nayo unapaswa kuandika kwa mkono?
Je kuna yeyote aliyewahi kuandika kwa computer na akashindwa kuitwa kwa interview?
Je wale wote walioitwa kwa interview waliandika barua zao kwa mkono?
Na kwa nini wananasisitiza uwe computer literary halafu watake barua ziandikwe kwa mkono?
kwani barua yako uki type ndo kigezo cha ww kuwa unaweza mambo ya kompyuta mkuu???
Cv haiwezi kuandikwa kwa mkono, na the reason behind for handwritten application, wanasema wana saikoloji hiyo inasaidia ktk kujua u smart wa applicant!
Na kama kuna watu wamewahi kuitwa na wali type ndo wajitokeze hapa watu tolee utata!
Mi nimewahi kuomba kazi mara tatu Utumishi and i typed all my letters, believe me niliitwa kwenye interview mara zote tatu. Kwahiyo kuandika kwa mkono au kuchapa does not carry any weight maana some people have very bad handwriting but they are very knowledgeable.