kuna member aliiweka hii barua juzi hapa, nashangaa sana hawa CCM wanalazimisha mambo ili wakubalike badala ya kushughulika na mambo ya kuwaletea wananchi maendeleo wao wanaanza kucheza rafu zisizokua na maana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.