Kila penye hoja za maana lazima ukurupuke kuja kuvuruga.CDM iachie wana CDM.Ninaloweza kukuhakikishia tutamsimamisha yeyote kugombea Urais, iwe ni shujaa Slaa ama Kamanda Mbowe au yeyote yule lakini katu asilani nakuapia CDM haitasimamisha Kibaraka yeyote wa CCM kugombea.