Barua Kwa Freeman Mbowe

Dr. Slaa ndio anakubalika sana pia hata kamanda Mbowe naye pia anafaa lakini the so called Zitto hafai koz ni mwanaCCM original na ni disaster kwa chama na Taifa.
 
CHADEMA hawana mtu wa kumsimamisha kugombea URAISI... labda wawaonge MAJEMEDARI WA CCM...wahamie kwao.. Na hawawezi.
Acha kudaganya umma wewe! CCM mnae nani? Yeyote mnaedhania kuwa mgombe kuna kombora lake la uhakika limetulia linasubri kulipuliwa! Ushauri CCM wamuweke kugombea Dr. Salim Ahmed Salim huyo pekee ndio tunaweza kuwaelewa na ndio alikuwa rais wetu badala ya kikwete na siasa zake za ubaguzi mara ooh Salim ndo alimuua KarumeLeo tusingekuwa hapa kama tungempa urais Dr. Salim!
 
Tumwombe MUNGU lakin wote wanafaa,vile watz wote tunaamin dr ndie rais ajae ataongoza hata miaka 5 tu.
 
Mh. Mbowe,
Kila mtanzania anafahamu kwamba unatamani sana kuwa rais. Kumbuka mwaka 2010 kabla ya CHADEMA kumsimamisha Dr. Slaa kuwa mgombea wa urais, vijana wachache sana walikiunga cchadema mkono. Lakini baada ya kumsimamisha Dr. Salaa, Tanzania ililipuka kwa shangwe na nderemo. Muda unavyokwenda ndivyo CHADEMA inavyozidi kupaa kwani Dr. Slaa anaaminika kwa machungu aliyonayo kwa taifa letu. Dr. Slaa ndiye Nyerere aliyebaki katika hii taifa

Nikiwa mwana CCM anayeiombea mema CHADEMA, na ambaye anajitayarisha kujiunga na ukombozi kabla ya 2015, nakusihi usijaribu kugombea urais 2015. Endeleeni kujenga chama, mwacheni Dr. Slaa agombee. Waambie mamluki kama Zitto na Shibuda wana CCM wenzangu watulie. Wewe bado kijana, tulia mwachie Dr. Slaa alikomboe taifa. Kwani yeye ndio mhimili wa upinzani hapa nchini. Mkifanya kosa kukurupuka na mambo ya urais kama mwana CCM Zitto, utashangaa CHADEMA itakavyo pukutika. Gombea Urais 2020 au 2025

Kuna kundi la vijana mahiri na wataalamu wa hali ya juu Ulaya na marekani ambao wanajipanga kuisaidia CHADEMA ikiwa Dr. Slaa atasimamishwa. Na watu kama Samwel Sitta wanaodahi kwamba CHADEMA haina watu wanaoweza kuongoza serikali, watashangaa mfuriko wa vijana toka Marekani na ulaya pamoja na waliopo nyumbani wakiongozwa na wewe pamoja na Dr. slaa watakavyoibadilisha sura ya Tanzania. Endeleza harakati bila kukiangalia kiti cha urais. waache wakina zitto waendelezo ndoto na tamaa zao za kibinafsi na za madaraka

NB: Kuna siri nzito nitawamwagieni humu siku chache zijazo. Ila kwa sasa, kuweni makini na January Makamba pamoja na Zitto. Kuna mpango maalum wa kuwatumia kukimaliza CHADEMA

CDM zaidi ya ZITTO hakuna kitu, SLAA ana matatizo mengi anayotakiwa kuyatatua kabla ya kufikitia kuwa kiongozi wa ngazi ya juu kama rais. Siyo siri SLAA kwa sasa ana msongo wa mawazo na ndiyo maana hata Mwenyekiti wake, Mbowe na msaidizi wake, ZITTO wanaona kama kumbebesha mzigo wa urais ni kutotendea haki wanaohusika moja kwa moja na msongo wa mawazo unaomwandama huyu babu.
 
Hizo comments zenu sijui nani zaidi, nani kajenga Chama zaidi kuliko fulani, nani kaleta msisimko zaidi fulani asisimaishwe fulani asimamishwe kugombea URAIS,ni CHILDISH stories! CHADEMA wamefika hapo walipofika kwa COMBINATION na integration ya talents tofauti tofauti ambazo zimekuwa blended pamoja over years....!!

Jueni kila mmoja katika Leadership ya CHADEMA amechangia kitu, ndio maana CHAMA kimetulia na kina grow kwa KASI na kukubalika, japo WASAKA uongozi ndani ya CDM wapo na wanaonekana na MTASIKIA timbwili lao 2015! Ila CDM wakichukua nchi kuna haja ya kuwashughulikia WASALITI! Wanajulikana!
 
Dr. Slaa ndio anakubalika sana pia hata kamanda Mbowe naye pia anafaa lakini the so called Zitto hafai koz ni mwanaCCM original na ni disaster kwa chama na Taifa.

Mbowe mimi naungana na SITTA kuwa anafaa kuendeleza biashara yake ya kumbi za muziki.
 
Mbowe hajafaa kuwa rais. Kama anashindwa kuendesha ofisi yake tu ndogo ya gazeti la tanzania daima na ofisi nyingine moshi ambayo imemshinda hadi kaifunga kwa kuwa alikuwa halipi mishahara watu wakaacha. Kwa haya machache tu mbowe hafai hata kidogo kuwa rais. Na mengi sana ya mbowe ambayo yanaonyesha udhaifu wake wa kutoweza kuendesha mambo ila kwa sasa namhifadhi. Abadilike kwani hata ubunge siku sio nyingi viatu vitampwaya na ataweka matambara. Mbowe badilika mwachie slaa walau anaweza japo kuwa na yeye anasfa nyingi sana.
umeamuwa kujiunga ili uposti hii kitu ama ni just a coincidence,umetokea kujiunga na thread ikaanzishwa?
 
Hizo comments zenu sijui nani zaidi, nani kajenga Chama zaidi kuliko fulani, nani kaleta msisimko zaidi fulani asisimaishwe fulani asimamishwe kugombea URAIS,ni CHILDISH stories! CHADEMA wamefika hapo walipofika kwa COMBINATION na integration ya talents tofauti tofauti ambazo zimekuwa blended pamoja over years....!!

Jueni kila mmoja katika Leadership ya CHADEMA amechangia kitu, ndio maana CHAMA kimetulia na kina grow kwa KASI na kukubalika, japo WASAKA uongozi ndani ya CDM wapo na wanaonekana na MTASIKIA timbwili lao 2015! Ila CDM wakichukua nchi kuna haja ya kuwashughulikia WASALITI! Wanajulikana!

Hicho ndicho watanzania wanaogopa, siasa za visasi, tunaweza kujikuta kwenye dimbwi la umwagaji damu kutokana na uonevu utakaofanywa na CDM kwa kisingizio kuwa wanawashughulikia mafisadi, wasaliti badala ya kuendeleza ujenzi wa nchi. Kwa mawazo hayo ya siasa za fisasi ni wazi naungana na wale wenye mawazo ya kuwa CDM hawana viongozi.
 
Zitto atasema chadema ni ya wakristo ili agombee yeye,same way JK alivyopata madaraka,nimeisema kwa njia nyingine na mod unayefuatilia mabandiko yangu,ifute na hii ukitaka.
 
Acha kudaganya umma wewe! CCM mnae nani? Yeyote mnaedhania kuwa mgombe kuna kombora lake la uhakika limetulia linasubri kulipuliwa! Ushauri CCM wamuweke kugombea Dr. Salim Ahmed Salim huyo pekee ndio tunaweza kuwaelewa na ndio alikuwa rais wetu badala ya kikwete na siasa zake za ubaguzi mara ooh Salim ndo alimuua KarumeLeo tusingekuwa hapa kama tungempa urais Dr. Salim!

Unajua watanzania wengi sasa tumeshajua kuwa CDM makombora yao ni kugushi, kwa sababu ya wimbo wao wa kila siku wa ufisadi na raslimali za taifa, huku wakiwa na suluhisho la kizamasani sana juu ya matatizo yao. Hivi sasa bwana ni zama za utandawazi na maendeleo ya sayansi na technology.
 
Zitto atasema chadema ni ya wakristo ili agombee yeye,same way JK alivyopata madaraka,nimeisema kwa njia nyingine na mod unayefuatilia mabandiko yangu,ifute na hii ukitaka.

ZITTO kichwa kaka, issue si dini, bali kishaona siasa za CDM si zenye tija kwa taifa bali zinalenga kuzipa koo fulani umaarufu wa kisiasa.
 
ZITTO kichwa kaka, issue si dini, bali kishaona siasa za CDM si zenye tija kwa taifa bali zinalenga kuzipa koo fulani umaarufu wa kisiasa.
Kama unabisha maneno yangu,subiri uone.Ni muhimu kwa chadema kuendelea kukaribisha viongozi wengine waislam wenye uwezo na nia ya kuongoza.Siyo kunakuwa na mmoja anayekuwa maarufu na kujidai kama ndo musilam pekee kwenye chama.No wonder haya maneno yapo.

Mbowe atachezewa karata ya ukabila na Slaa udini,wote kwa pamoja ukanda,na anayenufaika ni yule aliyetangaza kuutaka urais kabla hata mtu yeyote hajafikiria.Wenzake wanajenga chama,yeye anajijenga at his party's expense.
 
Wakuu maoni yangu ni kwamba,Dr. W. Slaa agombee Urais,Zitto Kabwe agombee U-Makamu wa rais then Mheshima Freeman Mbowe ateuliwe kuwa waziri Mkuu kwa mtazamo wangu naona wote ni viongozi wazuri pamoja na kasoro za kibinadamu walizo nazo,halafu panapo majaliwa 2020 ZZK na Mbowe mmoja wapo anapokea kijiti
 
All in all remain calm for a while. The answer is coming, no one is above others. Remember when the party decided to appoint Dr for the presidential post in 2010, we attempted to say no strong mp will be, isn't?

The time will tell.
 
Mh.
Nikiwa mwana CCM anayeiombea mema CHADEMA, na ambaye anajitayarisha kujiunga na ukombozi kabla ya 2015, nakusihi usijaribu kugombea urais 2015. Endeleeni kujenga chama, mwacheni Dr. Slaa agombee. Waambie mamluki kama Zitto na Shibuda wana CCM wenzangu watulie. Wewe bado kijana, tulia mwachie Dr. Slaa alikomboe taifa. Kwani yeye ndio mhimili wa upinzani hapa nchini. Mkifanya kosa kukurupuka na mambo ya urais kama mwana CCM Zitto, utashangaa CHADEMA itakavyo pukutika. Gombea Urais 2020 au 2025

Naunga mkono hoja..rekebisho moja tu mkuu.asigombee 2020 kwa sababu hawezi kumuingilia kati rais atakayekuwepo madarakani wakati huo,Mhe. Dr. Wilbroad Slaa..ni vizuri akamuacha kwanza amalize mihula yake miwili mpaka hapo 2025..
 
CDM zaidi ya ZITTO hakuna kitu, SLAA ana matatizo mengi anayotakiwa kuyatatua kabla ya kufikitia kuwa kiongozi wa ngazi ya juu kama rais. Siyo siri SLAA kwa sasa ana msongo wa mawazo na ndiyo maana hata Mwenyekiti wake, Mbowe na msaidizi wake, ZITTO wanaona kama kumbebesha mzigo wa urais ni kutotendea haki wanaohusika moja kwa moja na msongo wa mawazo unaomwandama huyu babu.

fafanua vizuri.
 
Bado miaka mitatu tuyaone ila chadema hawawezi kushinda urais hata kama wamsimamishe mtu kutoka mwezini
 
Naunga mkono hoja..rekebisho moja tu mkuu.asigombee 2020 kwa sababu hawezi kumuingilia kati rais atakayekuwepo madarakani wakati huo,Mhe. Dr. Wilbroad Slaa..ni vizuri akamuacha kwanza amalize mihula yake miwili mpaka hapo 2025..

acheni kudanganyana nyi.mzinifu aliepora mke wa mtu na kutelekeza familia hawezi kupewa nchi.watanzania ni watu makini sana
 
Wakuu maoni yangu ni kwamba,Dr. W. Slaa agombee Urais,Zitto Kabwe agombee U-Makamu wa rais then Mheshima Freeman Mbowe ateuliwe kuwa waziri Mkuu kwa mtazamo wangu naona wote ni viongozi wazuri pamoja na kasoro za kibinadamu walizo nazo,halafu panapo majaliwa 2020 ZZK na Mbowe mmoja wapo anapokea kijiti

ona mlivo wabaguzi,kwa hiyo zanzibar sio sehemu ya tanzania.
 
Zitto atasema chadema ni ya wakristo ili agombee yeye,same way JK alivyopata madaraka,nimeisema kwa njia nyingine na mod unayefuatilia mabandiko yangu,ifute na hii ukitaka.

wewe jmushi post zako nyingi humu ni za kumponda zuberi zitto,tunajua ni kwa sababu si mchaga na wala hatoki kaskazini na mbaya zaidi ni hilo jina lake.angeitwa yohana wala usingemsakama.
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom