Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 687
Kwa kuongezea tu na kwa msisitizo mkubwa kwako Mh Dr.Slaa...kama unasoma huu ujumbe...please please......kesi hii ina mambo mengi kwani hata kama hamtakata rufaa na mkaamua kumsimamisha Lema...bado kutakuwa na mizenge tele ya delaying tactics.....USHAURI KWAKO DR.SLAA...TAFADHALI WAKUSIMAMISHE WEWE UGOMBEE UBUNGE ARUSHA.CHADEMA WASIMSIMAMISHE MTU MWINGINE ARUSHA ZAIDI YA DR.SLAA.IKUMBUKWE KUWA ARUSHA INA MATATIZO MENGI YA MADIWANI AMBAYO HAYAJAPATIWA UFUMBUZI......PIA ARUSHA NI JIMBO KUBWA TZ.....NA NDIO MAANA CCM WANALITAKA...HASWA JK....HIVYO ASIMAME DR.SLAA MWENYEWE ARUSHA ACHUKUE JIMBO TAFADHALI...ATASAIDIA KUONDOA MIGOGORO ARUSHA KWA KIPINDI HIKI MPAKA 2015....
ANGALIZO: HATA MH.MBOWE ILIBIDI AGOMBEE HAI ILI KULINUSURU JIMBO PAMOJA NA KUWA YEYE NI CHAIRMAN NA ALISHAWAHI KUGOMBEA URAIS...HIVYO SHIME MSIKATE RUFAA NA MSIMAMISHENI DR.SLAA ARUSHA MUIMALIZE CCM.ARUSHA INAHITAJI MTU MZITO KAMA DR.SLAA......LEMA ATAENDELEA KUFANYA KAZI ZA dR.SLAA WAKATI DR.SLAA YUKO BUNGENI........this is my very important suggestion to CDM
Mkuu mimi naipenda sana M4C lakini hapo kwenye red kuna walakini. Lema hawezi kutekeleza majukumu ya Dr. Slaa hata kidogo. Tukubali kila mtu ana umuhimu kwenye chama ila Dr. Slaa kumlinganisha na Lema.... (unanipa maswali sana na uwezo wako wa kuzipambanua siasa za Tanzania)