Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Kama ni serious kiasi hiki,je Barua hii ya kijasusi kuhusu uchunguzi wa 'money laundering' dhidi ya huyu mtoto wa Mgombea Urais mtarajiwa imefikia wapi?Ilishawahi kutolewa ufafanuzi na vyombo vyetu vya usalama au wahusika wenyewe?