Barrick Gold kuuzwa...

Eeeehhheee Nchi yangu Tanzania ni lini utatoka mikononi mwa viongozi waliokugeuza kuwa shamba la bibi!!!?
 
Wazungu wanatumia sana vichwa vyao...washaona balaa linalowakabili maana mabadiliko yako njiani yanakuja. Bongo si bongo ile ile waliyoizoea.
 
gfsonwin

Its always darkest before it turns absolutely pitch black....
So my fellow countrymen prepare ye self for the worse
 
Last edited by a moderator:
nchi yetu inaghitaji maombezi sana nje yahapo tutakuwa tunacheza ngoma na zeze za kisukuma tu
 
na nikiangalia kwa mbele sekta ya madini sijui itakuwaje.

Kuna regulations mpya zimepitishwa 27 July kimya kimya bila kupita kokite ambazo zimeongeza gharama ya vitalu vya utafiti na uchimbaji maradufu.

Gharama vimeongezwa kwa zidi ya 300%, kitu ambacho kinashangaza.

Ni bora gharama hizi zingeongezwa kwa vitalu vya uchimbaji but vitalu vya utafiti sijui nani atabaki anatafiti hapa.

Bado wachimbaji wadogo nao wamepandishiwa, sijui kama wataweza ku-maintain keseni hizo.

kuna risk sana.
 
Matatizo yote haya ni kutokana na Serikali DHAIFU. Sioni kwa nini wawekezaji wanapoingia nchini eti wapewe miaka mitano ya kuvuna utajiri wa Watanzania bila kulipa kodi. Mwekezaji/mchukuaji anaingia nchini kuja kuvuna rasilimali za Tanzania iwe dhahabu, Tanzanite, Almasi, Uranium, Gas n.k. ni lazima atozwe kodi mara tu anapoanza shughuli za uchimbaji wa madini hayo.

Angalia hawa Barrick wamevuna dhahabu yetu kwa miaka 12 bila kulipa kodi. Walisaini mkataba mwaka 2000 wakati huo bei ya ounce moja ya dhahabu katika soko la dunia ilikuwa $220 lakini miaka ya karibuni bei ikapanda hadi kufikia karibu na $2,000 kwa ounce!!! karibu mara 10 ya ile bei ya mwaka 2000 wao na shareholders wao walineemeka sana kutokana na ongezeko hilo la bei lakini Tanzania na Watanzania hawakufaidika na hata senti moja. Sasa wanaambiwa waanze kulipa kodi wanaanza kutafuta visingizio vya kutaka kuondoka nchini mara matatizo ya umeme kama vile hawakuyaona matatizo hayo ambayo yapo nchini tangu walipoingia mwaka 2000

Wanachofanya ni wizi lakini Kikwete pamoja na kuahidi katika kampeni za 2005 kuibadilisha mikataba hiyo ili iwe na maslahi kwa Watanzania kaendelea kukenuakenua tu miaka yote hii si ajabu naye ni mmoja wa shareholders wa Barrick.

ukitaka kufa fikiria hayo utaharibu hadi idi yako na j2 yako. binafsi sioni mantiki ya kuuziwa dhahabu sh 56000/= kwa gram wakati inatoka hapa kwetu mtanzania kuvaa dhahabu ni anasa ila yeye huyu ndiye anayeathirika na cyanide na methyl mecury halafu mzungu anafaidi kilainiiii..imagine eti serikali haina hata stoku ya vito ndio wanafikiri kuiweka sasa najiuliza walikuwa wanauza tu pasi kufikiria baadae? hata nyumban huwa hulimi na kuuza mazao yote huwa tunaweka akiba jamani.
 
Riz one ndio mwanasheria wa barrick baada ya Deo Mnyika kuwa prezida.wamewashtua hao wazungu wao kwamba things agwan.mh!
 
Mchezo ule ule wa kukwepa kodi... Wabunge kuweni macho na uporaji katika nchi hii....
 
Kwa umeme tulionao hakuna mtu anaweza kuja kuandesha mitambo mikubwa TZ kama ana alternative maana hailipi. Kwa hiyo kama Barrick wakitoa kisingizio cha Umeme wana haki, hata kama wanayo sababu nyingine. Umeme ni kikwazo cha ukweli kwenye maendeleo ya nchi yetu. Mimi nafahamiana na wajasilimali wengi ambao wameshindwa kuanzisha miradi hata midogo kama ya mashamba makubwa ya ufugaji.

Cha kujiuliza maswali sisi Watanzania ni kuwa;
  1. Inakuwaje mgodi uuziwe watu wengine bila ya sisi wenye ardhi kushirikishwa?
  2. Je kuna maslahi gani kwa taifa itakapomilikiwa na watu wengine?
  3. Je serikali yetu haiwezi kupata umiliki wa angalau 50% kwenye mkataba na hiyo kampuni mpya kama ilivyo kwa nchi za Namibia, Botswana n.k. ambazo zinafaidika na utajiri wao?
  4. Je Bunge lina taarifa rasmi ya suala hili la mgodi kuuzwa na wamelijadili?
  5. Je tulijifunza nini pale Richmond ilipogeuka kuwa Dowans?
Maswali magumu ni lazima yaulizwe ili tuepukane na matatizo hapo baadaye.
 
nchi yetu inaghitaji maombezi sana nje yahapo tutakuwa tunacheza ngoma na zeze za kisukuma tu

Maombezi yepi? Katika nchi za wenzetu viongozi wamejawa na uzalendo na wanawatumikia wananchi.Kwa kifupi ni wachapa kazi. Kama sisi tunahitji maombezi, tunaomba mwishowe tunaambulia maombolezi.

Rais Mwinyi aliwahi kusema,"watanzania ni kichwa cha mwendawazimu". Nafikiri unaelewa maana yake.

Tuwe wazalendo, tutumie wataalamu wetu, tuchape kazi. Tuweke sheria ya rushwa na ufisadi kama ya China na tuitekeleze bila kulindana au kuoneana haya.
 
Matatizo yote haya ni kutokana na Serikali DHAIFU. Sioni kwa nini wawekezaji wanapoingia nchini eti wapewe miaka mitano ya kuvuna utajiri wa Watanzania bila kulipa kodi. Mwekezaji/mchukuaji anaingia nchini kuja kuvuna rasilimali za Tanzania iwe dhahabu, Tanzanite, Almasi, Uranium, Gas n.k. ni lazima atozwe kodi mara tu anapoanza shughuli za uchimbaji wa madini hayo.

Angalia hawa Barrick wamevuna dhahabu yetu kwa miaka 12 bila kulipa kodi. Walisaini mkataba mwaka 2000 wakati huo bei ya ounce moja ya dhahabu katika soko la dunia ilikuwa $220 lakini miaka ya karibuni bei ikapanda hadi kufikia karibu na $2,000 kwa ounce!!! karibu mara 10 ya ile bei ya mwaka 2000 wao na shareholders wao walineemeka sana kutokana na ongezeko hilo la bei lakini Tanzania na Watanzania hawakufaidika na hata senti moja. Sasa wanaambiwa waanze kulipa kodi wanaanza kutafuta visingizio vya kutaka kuondoka nchini mara matatizo ya umeme kama vile hawakuyaona matatizo hayo ambayo yapo nchini tangu walipoingia mwaka 2000

Wanachofanya ni wizi lakini Kikwete pamoja na kuahidi katika kampeni za 2005 kuibadilisha mikataba hiyo ili iwe na maslahi kwa Watanzania kaendelea kukenuakenua tu miaka yote hii si ajabu naye ni mmoja wa shareholders wa Barrick.
Kibaya zaidi Muhongo katika sheria za kodi mwaka huu ameleta amendment kwamba migodi ikiuzwa wasilipe VAT/capital gains na Wachina wamekubali kununua Barrick kwa dola bil 3.1 hivyo tutakosa kama dola mil 600 si na yeye amehongwa kweli au unadhani ni coinsidence hata Barrick wakiondoka hawatalipa kodi kama Airtel ila michezo yao CCM wacheze ila NSSF watupe kabla ya kuja hao wachina bora tukaanzishe shuguli zetu binafsi la sivyo patachimbika kama South Africa.
 
What's important over the Barrick Gold, at once let's them go.
Here it is only cheating trick is on their side, to steal our
Gold revenue tax money.
 
Sasa serikali ya mr dr mh dh.if. kwa nini isinunue hizo hisa? hiyo ndio njia ya kujimilikisha mgodi. hata hivyo, hao wezi wanauza mgodi kwani wao walinunua kutoka kwa nani? yaani mitanzania hatunazo. ni sawa na umemkaribisha jamaa halafu akitaka kuondoka auze nyumba yako. hopeless people. aargh!
 
Hawa Barrick ni waovu. Waulizeni wataalam (geologists and mining engineers and other technicians) waliowahi kufanya nao kazi wawaeleze jinsi wanavyotesa watanzania. Bahati mbaya sana Human resource wa kwetu ndio hawana habari kabisa kuwatetea watanznia wenzao. Mambo yanayofanyika huko ni wizi mtupu nchi haina habari taabu tu. Waondoke na walipe kodi zote.
 
STAKEHOLDERS have called for the government to hurriedly charge and collect Capital Gains Tax from the African Barrick Gold (ABG) following reports that its mother company, Barrick Gold, intends to sell off its stakes to a Chinese investor.
The move follows information reported by foreign and local media last week that ABG had resolved to sell its 74 per cent stake in the Africa Barrick Gold (ABG) to the Chinese state owned China National Gold (CNG).
Concern for Development Initiatives in Africa (ForDIA) through its Publish What You Pay (PWYP) coalition was bitter over the move and warned in a statement yesterday that the 20 per cent property gains tax should be collected before the company packs and leaves.
"We remind and urge the government to set a strategy that will ensure recovery of 20 per cent capital gains tax and corporate tax arrears from ABG simultaneous with CNG acquisition of ABG goldmines," the statement stated in part.
According to ForDIA Executive Director, Mr Buberwa Kaiza, it has already been confirmed that Barrick Gold and ABG executives have started negotiations with CNG which might culminate in the latter's total acquisition of the former.
He said PWYP-Tanzania Coalition is of the opinion that ABG preparations to exit the country is something to worry, as it relates to government's competence to enforce payment of 20 per cent capital gains tax.
The capital gains tax refers to gains from the disposal of Tanzanian assets by non-residents, which is charged at 20 per cent on the realized net gains.
"Secondly, PWYP-Tanzania is worried whether the government has learnt any lessons with regards to achieving the goal of free fiscal regime offers to foreign large scale mining companies," he said.
"It is perplexing and inconceivable for the government to offer free tax incentives to richer multinational corporations, bankrolling the multinationals to make profits and later exit at their will without paying significant taxes to the government," the ForDIA boss noted.
According to the statement, PWYP-Tanzania coalition considers tax incentives offered to foreign large scale mining companies unjustifiable and looks forward to see a competitively, transparently and accountably transacted ABG-CNG deal.
Reports have it that ABG is cross listed at the London and Dar es Salaam Stock Exchange Markets with the total value of 2 billion US dollars, but since Initial Public Offer (IPO) was launched in March 2010, ABG has only operated in Tanzania with investments in Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited and Pangea Minerals operating Tulawaka and Buzwagi goldmine projects.
The Tanzania Extractive Industries Transparency Initiative (TEITI) reports published in 2011 and 2012 exposed ABG's tax payment history, showing that ABG does not pay the 30 per cent corporate tax it is obliged to the government.
A statement quoting ABG Chief Executive Officer, Mr Greg Hawkins, early last year indicated ABG's net profit rose by 237 per cent during 2010 to 222.6 million US dollars (over 330bn/-) from 66 million US dollars in the previous year, meaning Tanzania would have received 66.78 million US dollars had ABG paid its 30 per cent corporate tax obligation.
 
Back
Top Bottom