Hilo neno (He is a bad ass... = ni sifa tu (could be +ve or -ve), nadhani alikuwa anamanisha jamaa ni mkali saana katika Musik). Halina tatizo, inategemea na kitu gani ambacho alikuwa anakizungumza na kwa walengwa/wasikilizaji wa kipindi hicho. off-course hilo ni rude words huwezi kulitumia kwenye watoto na watu wenye heshima zetu.
Mimi nadhani kwa kipindi chake, na nyie wasikilizaji wake hayo ndo maneno yenu mngependa/mnayopenda kuyasikia! Huyo dada anajua audience yake inataka nini na ndo anachowapatia. akiwa too casual, mtasema kipindi chake kina-bore. Achaeni unafiki wenu. Mbona watu wengi wanaitana maneno ya ajabu tu, in a positive way?!! utasikia 'KICHAA wangu nitoe na buku 5.. ..', 'MCHIZI yule ni noma kwa ....' etc.
Maneno kama hayo huwezi kuyasikia kwenye kipndi cha Je tutafika cha Makwaiya wa Kuhenga and the likes. Mi nadhani muanzisha thread ulitaka watu wamjadili Diva kama Diva, lakini sio kwa kutumia maneno hayo.
... Jestina u r such a "BAD ASSS"......
...give the + n - ..of the phrase "BAD ASS"...
....madai yake... anasikilizwa sana na wanafunzi wa vyuo vikuu...
That player, Messi is a f&ck*ing badass.
Usitishike na hayo maeneo (badass, f&ck&*ing, freaking) = hii ni positive sentense, hapa tunamzungumzia Messi kama mchezaji mzuri saaana.
Yaani hilo neno (badass) linao-add strength, or emotional power katika sentense (linaifanya sentense kuwa: either positve kuwa positive zaidi, na kama ni negative sentensi kuwa negative zaidi).
Hilo neno (He is a bad ass... = ni sifa tu (could be +ve or -ve), nadhani alikuwa anamanisha jamaa ni mkali saana katika Musik). Halina tatizo, inategemea na kitu gani ambacho alikuwa anakizungumza na kwa walengwa/wasikilizaji wa kipindi hicho. off-course hilo ni rude words huwezi kulitumia kwenye watoto na watu wenye heshima zetu.
Mimi nadhani kwa kipindi chake, na nyie wasikilizaji wake hayo ndo maneno yenu mngependa/mnayopenda kuyasikia! Huyo dada anajua audience yake inataka nini na ndo anachowapatia. akiwa too casual, mtasema kipindi chake kina-bore. Achaeni unafiki wenu. Mbona watu wengi wanaitana maneno ya ajabu tu, in a positive way?!! utasikia 'KICHAA wangu nitoe na buku 5.. ..', 'MCHIZI yule ni noma kwa ....' etc.
Maneno kama hayo huwezi kuyasikia kwenye kipndi cha Je tutafika cha Makwaiya wa Kuhenga and the likes. Mi nadhani muanzisha thread ulitaka watu wamjadili Diva kama Diva, lakini sio kwa kutumia maneno hayo.
me ni mwanafunz wa chuo,lakin cmjui huyo Dida mbona?
huyu demu mshamba sana na huwa anapenda kuongea mambo ya kijinga muda mwingi,mambo ambayo hayaendan na maadili, kuna siku nilikuwa na wazazi wangu kwenye gari usiku tunarudi home mida ya saa nne na nusu usiku, nimefungulia clauds fm, mzee akaniambia hakuna steshen nyingine ya redio? Manake hadi aibu anaongea matusi halafu yeye anaona ujanja, kumbe ushamba tu.
me ni mwanafunz wa chuo,lakin cmjui huyo Dida mbona?