Tumejifunza nini kwenye uchaguzi wa 2010.
1. Je daftari la wapiga kura liko sahihi? Tusingoje mpaka uchaguzi ujao. Lifanyiwe uhakiki sasa.
2. Utangazaji ya matokeo ya wabunge na rais wa sasa unafaa? Tufanye nini kuboresha hili.
3. Vituo vya kupigia kura ? Je vituo hivi zilijulikana lini? Ni vizuri vikajulikana mapema (kama meizi mitatu) na uhakiki ya wapiga kura ufanyike wakati huo.
4. Utaratibu wa kuhesabu kura na kutangaza matokeo ujulikane mapema. Kama kuna software itakayotumika ijulikane mapema (kwa Vyama vyote) na mafunzo kwa watumiaje na pamoja kuwa na vifaa vizuri(specs).
5. Uwezo wa wafanyakazi wa NEC? Wanahuelewa wa system yao ya uchaguzi na mapungufu yake na exposure wa chaguzi nchi nyigine.
1. Je daftari la wapiga kura liko sahihi? Tusingoje mpaka uchaguzi ujao. Lifanyiwe uhakiki sasa.
2. Utangazaji ya matokeo ya wabunge na rais wa sasa unafaa? Tufanye nini kuboresha hili.
3. Vituo vya kupigia kura ? Je vituo hivi zilijulikana lini? Ni vizuri vikajulikana mapema (kama meizi mitatu) na uhakiki ya wapiga kura ufanyike wakati huo.
4. Utaratibu wa kuhesabu kura na kutangaza matokeo ujulikane mapema. Kama kuna software itakayotumika ijulikane mapema (kwa Vyama vyote) na mafunzo kwa watumiaje na pamoja kuwa na vifaa vizuri(specs).
5. Uwezo wa wafanyakazi wa NEC? Wanahuelewa wa system yao ya uchaguzi na mapungufu yake na exposure wa chaguzi nchi nyigine.