Mtoa mada,,,hiyo kozi ulikua unaipenda???au ndo umeiomba baada ya kufeli????au unadhan ni rahis kwako????
Unajua mnapokua shule huwa mnashauriana mambo meengi,ila huwa mnapotoshana sana...bwana nakwambia ukweli wakat unabahatisha degree jaribu kuomba diploma ....uwezekano wa wewe kupata chuo ni mdaogo kama pinda kuhama ccm
Unajua mnapokua shule huwa mnashauriana mambo meengi,ila huwa mnapotoshana sana...bwana nakwambia ukweli wakat unabahatisha degree jaribu kuomba diploma ....uwezekano wa wewe kupata chuo ni mdaogo kama pinda kuhama ccm