Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
- Thread starter
- #81
mpira kasheshe leo kadi nyekundu zinakuja.
messi nomaaaaaaaa.
tricks of z game mkuuhuyu carvalhio mpuuzi sana,kachukua mpira vizuri sasa anaenda kumpiga kipepsi cha nini?
</p>Real madrid hawana viuongo wa kuwawezesha kucheza pasi za hapa na pale Special one inabidi atumie mbinu za kiitaliano na mipira mrefu mirefu kipindi cha pili.
half tym!
haiwezekanipossession ni barca 90%
Messi yellow
haiwezekani
siyo siasa mkuu jamaa ndo wamesema labda kama nimesikia vibaya au walikuwa wanatania!